Mbu ‘Steve’ janga jipya kwa Malaria, asambaa nchi 7 Barani Afrika

Tumekuwa tukiambiwa kuwa mbu Anopheles yeye muda wake wa kuuma na kupelekea mtu kupata malaria ni usiku wa manane. Je, yule mbu Culex aenezae matende na mabusha, Aedes wa dengue na huyu Steve wa malaria muda wao wa kuleta madhara ni upi?
 
Inamana wazungu wametengeneza hybrid ya mbu kweli wazungu hawatu pendi waafrika
Kama ndivyo, hiyo ni hujuma jamii (social sabotage). Ila wataalamu wetu mahiri wamesinzilia wapi wasifanye counteroffensive?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…