Nimekuwa nikiona mbumbumbu wengi na baadhi ya washirika wao wakipeana moyo na kuwaponda yanga kwamba kutokana na kufungwa mechi 2 basi Yanga wamepoteana na wataendelea kupoteza mechi nyingine!
Nadhani awaijui yanga vizuri na utamaduni wake.
Ni ngumu sana kwa yanga kupoteza mechi 3 mfululizo, kilichotokea mechi 2 zilizopita Kila anayefahamu Mpira anajua sababu ya kupoteza, isitoshe Ile ilikuwa ni wake up call ya kuwaweka viongozi na wanachama sawa maana walikuwa wamejisahau sana kutokana na ushindi wa Kila mechi bila kufungwa!
Na bahati nzuri jambo limekuja mapema kabla ligi aijachanganya sasa viongozi washafanya kazi yao, penye ufa washaziba, penye tatizo washatatua, kwa maana iyo wanaotegemea kwamba yanga atapoteza mechi nyingine wanajidanganya, na wanaweza kwenda mpaka kumaliza ligi na kutwaa ubingwa bila kufungwa Tena iyo risiti muitunze msije mkasema sikuwaambia.
Yanga awawezi kurudia kosa abadani kwa namna walivyo na mikakati yao. Mechi ya Leo dhidi ya Al hilali ndio itakuwa starting point ya yanga kurudi njia kuu na watashinda iyo mechi kwa Mpira mkubwa iyo ndio sifa ya timu kubwa na wachezaji wakubwa!
Nadhani awaijui yanga vizuri na utamaduni wake.
Ni ngumu sana kwa yanga kupoteza mechi 3 mfululizo, kilichotokea mechi 2 zilizopita Kila anayefahamu Mpira anajua sababu ya kupoteza, isitoshe Ile ilikuwa ni wake up call ya kuwaweka viongozi na wanachama sawa maana walikuwa wamejisahau sana kutokana na ushindi wa Kila mechi bila kufungwa!
Na bahati nzuri jambo limekuja mapema kabla ligi aijachanganya sasa viongozi washafanya kazi yao, penye ufa washaziba, penye tatizo washatatua, kwa maana iyo wanaotegemea kwamba yanga atapoteza mechi nyingine wanajidanganya, na wanaweza kwenda mpaka kumaliza ligi na kutwaa ubingwa bila kufungwa Tena iyo risiti muitunze msije mkasema sikuwaambia.
Yanga awawezi kurudia kosa abadani kwa namna walivyo na mikakati yao. Mechi ya Leo dhidi ya Al hilali ndio itakuwa starting point ya yanga kurudi njia kuu na watashinda iyo mechi kwa Mpira mkubwa iyo ndio sifa ya timu kubwa na wachezaji wakubwa!