Mbumbumbu Sports Club

Nani yule alisema wala mihogo au yule aliesema yanga wote ni makima na mambwa mnabweka bweka hovyo
Au yule aliesema hapo utopoloni wenye akili ni wawili tu ukimtoa baba ake na mzee jk?
 
Nani yule alisema wala mihogo au yule aliesema yanga wote ni makima na mambwa mnabweka bweka hovyo
Au yule aliesema hapo utopoloni wenye akili ni wawili tu ukimtoa baba ake na mzee jk?
Habari za siku nyingi mbumbumbu
 
Dah.....!
Utopolo kazi mnayo....!

Mihogo mnayokula imetamkwa Na Raisi Wenu juzi tu......!Sisi mnatusingizia..!

Hiyo kauli ya mbumbumbu ya Mwaka '47' ni Kama mla Leo mla Jana kala nini?'

Hivi Sasa tunawasubiri tar 9 Ya November 2022 .

Mkishindwa tu Kuingia Makundi Ya Loosers Wa CL Wa CAF..! Inatakiwa mjifungie wenyewe pale Jangwani..!

Na ni iwe marufuku kutamka Unbeaten ni Mafanikio..!
 
Mbumbumbu SC ni kibonde kwa timu za Dar mximu huu
 
Jinsi habari ilivyo outdated hata like huna
 
Na hili jina watadumu nalo milele! Imagine ukiwauliza zilipo bilioni 20, hawana majibu ya kueleweka!

Eti ooh!! Sisi timu yetu ikishinda, inatosha!
Zenuuuu zinawahusu nini?.pambaneni na waarabu huko. Mo aloyafanya ni zaidi ya hzo bilioni 20. Pambaneni na homa ya waarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…