Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Masaai amewashambulia wanaodhaniwa kuwa ni watia nia. Mbunge huyo amedai kuwa watu wastaafu hawapaswi kugombea ubunge. Akiongea katika mkutano na wananchi amedai kuwa mbunge anatakiwa awe kijana mwenye kuweza kukimbia kimbia, hivyo yeye ndio anafaa. Aidha amejinasi kuwa Masasi hakuna shule yenye shida ya vitabu na DED anashangaa mtu kuleta msaada wa vitabu kwenye jimbo lake.
Hivi ni kweli DED atakuwa hajui shida ya vitabu kwenye halmashauri ya Masasi? Au amejitoa ufahamu ili kumbeba huyu mtukanaji!! Basi hivyo vitabu tuleteeni sisi huku Songea.
Hivi ni kweli DED atakuwa hajui shida ya vitabu kwenye halmashauri ya Masasi? Au amejitoa ufahamu ili kumbeba huyu mtukanaji!! Basi hivyo vitabu tuleteeni sisi huku Songea.