Mbunge adaiwa kununua vitabu vya msemakweli na kuchoma moto

Kama kweli Dialo kanunua na kuchoma moto vitabu ni upungufu wa maarifa ni sawa na mwanafuzi kushindwa somo la hesabu na kuamua kuchoma moto kitabu cha hesabu kitu ambacho hakitasaidia kitu

Sasa huyu anayenunua vitabu na kuvichoma ndiye aliyekuwa waziri wetu wa Maliasili; kweli kwa mtindo wa uteuzi wa vihiyo kama hawa tutegemee nchi yetu ipate maendeleo?
 
Sasa huyu mbunge atanunua hizo kopi mpaka lini?Na huyo mchapaji wa hicho kitabu si ataendelea kutajirika?Huyo mbunge kweli ana upungufu wa elimu

Ni kweli mchapaji ataendelea kutajirika lakini wananchi watakuwa wamekosa haki ya kuhabarishwa,assuming copies ni limited,then hizo copies alizochoma moto ni idadi ya wananchi waliokosa haki yao ya kukipata kitabu hicho plus wengine ambao wangevisoma mara baada ya wenzao kuvinunua.
 

Nimepata taarifa kuwa mchapaji amembana muuzaji wake (WAKALA) na kueleza kwa sasa akiendelea kuuza vyote kwa mkupuo atamshitaki. Ameongeza Copy 3,000 ambazo zimeanza kuonekana mezani kwa wauzaji. Na hapa niko katika meza moja nimeona kinauzwa toka jana.

Tatizo la Diallo ni elimu kweli: Kwanza alimnunua Kubenea kuandika story ya kukanusha kuwa hajagushi vyeti, hii ni baada ya kuona watu wananunua mpaka vichapisho vya photo copy vya kitabu hicho akaona anunue na vitabu.
 
Tatizo la Diallo ni elimu kweli: Kwanza alimnunua Kubenea kuandika story ya kukanusha kuwa hajagushi vyeti, hii ni baada ya kuona watu wananunua mpaka vichapisho vya photo copy vya kitabu hicho akaona anunue na vitabu.

Kwa hiyo Kubenea amevuta??
 
Atakuja kuchoma moto servers za JF pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…