Mbunge ahoji kauli ya serikali kuhusu wanawake wanaokosa vifaa vya kujifungulia, Naibu waziri asema huduma kwanza na si kuulizwa pesa

Mbunge ahoji kauli ya serikali kuhusu wanawake wanaokosa vifaa vya kujifungulia, Naibu waziri asema huduma kwanza na si kuulizwa pesa

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa hospitali zote za umma na binafsi zinapaswa kuwahudumia wajawazito na wagonjwa wa dharura bila masharti ya malipo ya awali.

Ametoa kauli hiyo bungeni Ijumaa, Januari 31, 2025, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest, kuhusu changamoto za wanawake wanaoshindwa kupata vifaa vya kujifungua.

"Tunatoa maelekezo mahususi kwamba mama na mtu yeyote wa dharura akifika hospitalini ni lazima apate huduma kwanza. Si sahihi kuulizwa fedha au chochote kabla ya kupatiwa matibabu," amesema Dkt. Mollel.

Hata hivyo, ameeleza kuwa gharama za huduma kwa akina mama na watoto zinaendelea kuwa changamoto kubwa kwa serikali. Amesema kwa mwaka 2024, gharama hizo zilifikia Shilingi bilioni 227, wakati bajeti ya huduma zote za afya ilikuwa Shilingi bilioni 200.

"Tunajitahidi kuweka mizania, lakini ukweli ni kwamba baadhi ya wananchi hawajali maandalizi ya afya zao. Unakuta mtu huyo huyo hana bima ya afya lakini anachangia mamilioni kwenye harusi, halafu akifika hospitali anataka huduma bure. Serikali imetumia Shilingi bilioni 661 kwa msamaha wa huduma za afya mwaka juzi, lakini tukubaliane kuwa kupanga ni kuchagua," amesisitiza.

Soma: Naibu Waziri Godwin Mollel amuunga mkono Chalamila kuhusu wajawazito: Unakuta mtu hana bima lakini anachangia Milioni kwenye harusi!

Kauli hiyo ya serikali imekuja baada ya Mbunge Anatropia Theonest kulifikisha bungeni sakata la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye alinukuliwa akisema "wajawazito wasiotaka kununua glavu wakajifungulie nyumbani".

Mbunge huyo ameeleza kuwa kauli kama hizo kutoka kwa viongozi wa serikali zinakatisha tamaa na zinaweza kuchangia vifo vya wajawazito.

"Wakati mwingine kukosa vifaa husababisha maambukizi na hata vifo wakati wa kujifungua. Ni nini kauli ya serikali kwa wanawake hawa, lakini pia kwa viongozi waliopaswa kuwasaidia badala ya kuwakatisha tamaa?" amehoji Anatropia.

Akijibu hoja hiyo, Dkt. Mollel amesema kauli za viongozi mara nyingi hupotoshwa kwa kuchukuliwa vipande vidogo vya mazungumzo yao, hivyo ni muhimu kuelewa muktadha wa kile kilichosemwa kabla ya kutoa hitimisho.
See translation



 
Mkuu mkoa wa dar anasema pesa mbele kwanza toa pesa upate matibabu

Ova
 
Halafu namshangaa rais bado hana lakufanya juu ya huyo mkuu wa mkoa! sijui anafikiria nini..?
swala la bajeti kupitiliza hilo sio swala late wananchi maana mimi sina taarifa za nchi nzima kuwa serikali iliweka billion 200 kwaajili ya afya halafu ikatumika 227!.
Kama wanataka tulipie waseme bayana waache kurukaruka!, serikali swala la afya kuweni makini sana sio swala la mchezo afya ndio nchi.
 
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa hospitali zote za umma na binafsi zinapaswa kuwahudumia wajawazito na wagonjwa wa dharura bila masharti ya malipo ya awali.

Ametoa kauli hiyo bungeni Ijumaa, Januari 31, 2025, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest, kuhusu changamoto za wanawake wanaoshindwa kupata vifaa vya kujifungua.

"Tunatoa maelekezo mahususi kwamba mama na mtu yeyote wa dharura akifika hospitalini ni lazima apate huduma kwanza. Si sahihi kuulizwa fedha au chochote kabla ya kupatiwa matibabu," amesema Dkt. Mollel.

Hata hivyo, ameeleza kuwa gharama za huduma kwa akina mama na watoto zinaendelea kuwa changamoto kubwa kwa serikali. Amesema kwa mwaka 2024, gharama hizo zilifikia Shilingi bilioni 227, wakati bajeti ya huduma zote za afya ilikuwa Shilingi bilioni 200.

"Tunajitahidi kuweka mizania, lakini ukweli ni kwamba baadhi ya wananchi hawajali maandalizi ya afya zao. Unakuta mtu huyo huyo hana bima ya afya lakini anachangia mamilioni kwenye harusi, halafu akifika hospitali anataka huduma bure. Serikali imetumia Shilingi bilioni 661 kwa msamaha wa huduma za afya mwaka juzi, lakini tukubaliane kuwa kupanga ni kuchagua," amesisitiza.

Kauli hiyo ya serikali imekuja baada ya Mbunge Anatropia Theonest kulifikisha bungeni sakata la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye alinukuliwa akisema "wajawazito wasiotaka kununua glavu wakajifungulie nyumbani".

Mbunge huyo ameeleza kuwa kauli kama hizo kutoka kwa viongozi wa serikali zinakatisha tamaa na zinaweza kuchangia vifo vya wajawazito.

"Wakati mwingine kukosa vifaa husababisha maambukizi na hata vifo wakati wa kujifungua. Ni nini kauli ya serikali kwa wanawake hawa, lakini pia kwa viongozi waliopaswa kuwasaidia badala ya kuwakatisha tamaa?" amehoji Anatropia.

Akijibu hoja hiyo, Dkt. Mollel amesema kauli za viongozi mara nyingi hupotoshwa kwa kuchukuliwa vipande vidogo vya mazungumzo yao, hivyo ni muhimu kuelewa muktadha wa kile kilichosemwa kabla ya kutoa hitimisho.
See translation



View attachment 3219734
"wajawazito wasiotaka kununua glavu wakajifungulie nyumbani". Chalamila unaitwa hukuuuu!
 
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa hospitali zote za umma na binafsi zinapaswa kuwahudumia wajawazito na wagonjwa wa dharura bila masharti ya malipo ya awali.

Ametoa kauli hiyo bungeni Ijumaa, Januari 31, 2025, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest, kuhusu changamoto za wanawake wanaoshindwa kupata vifaa vya kujifungua.

"Tunatoa maelekezo mahususi kwamba mama na mtu yeyote wa dharura akifika hospitalini ni lazima apate huduma kwanza. Si sahihi kuulizwa fedha au chochote kabla ya kupatiwa matibabu," amesema Dkt. Mollel.

Hata hivyo, ameeleza kuwa gharama za huduma kwa akina mama na watoto zinaendelea kuwa changamoto kubwa kwa serikali. Amesema kwa mwaka 2024, gharama hizo zilifikia Shilingi bilioni 227, wakati bajeti ya huduma zote za afya ilikuwa Shilingi bilioni 200.

"Tunajitahidi kuweka mizania, lakini ukweli ni kwamba baadhi ya wananchi hawajali maandalizi ya afya zao. Unakuta mtu huyo huyo hana bima ya afya lakini anachangia mamilioni kwenye harusi, halafu akifika hospitali anataka huduma bure. Serikali imetumia Shilingi bilioni 661 kwa msamaha wa huduma za afya mwaka juzi, lakini tukubaliane kuwa kupanga ni kuchagua," amesisitiza.

Kauli hiyo ya serikali imekuja baada ya Mbunge Anatropia Theonest kulifikisha bungeni sakata la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye alinukuliwa akisema "wajawazito wasiotaka kununua glavu wakajifungulie nyumbani".

Mbunge huyo ameeleza kuwa kauli kama hizo kutoka kwa viongozi wa serikali zinakatisha tamaa na zinaweza kuchangia vifo vya wajawazito.

"Wakati mwingine kukosa vifaa husababisha maambukizi na hata vifo wakati wa kujifungua. Ni nini kauli ya serikali kwa wanawake hawa, lakini pia kwa viongozi waliopaswa kuwasaidia badala ya kuwakatisha tamaa?" amehoji Anatropia.

Akijibu hoja hiyo, Dkt. Mollel amesema kauli za viongozi mara nyingi hupotoshwa kwa kuchukuliwa vipande vidogo vya mazungumzo yao, hivyo ni muhimu kuelewa muktadha wa kile kilichosemwa kabla ya kutoa hitimisho.
See translation



View attachment 3219734
Sasa kumekuchaaa, jogoo limekwishawika Dodomaaa....Poti ulanzi bado haujaisha Iringa, omba kwa mteule uachie ngazi, kinachoendelee ni taa nyekundu usingojee kutumbuliwa, chezea miaka mingine huu ni mwaka wa uchaguzi.
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
CCM chini ya CHURA haijawahi kua na huruma na mtanganyika. Tujipange sana
KAZI ni kipimo cha UTU
kila kitu wanalalamika fiisiimu yao wanailalamikia Trump wanamlalamikia yaani full malalaiko kimsingi hiyo ni nchi ya kulalamika.period.
 
Halafu namshangaa rais bado hana lakufanya juu ya huyo mkuu wa mkoa! sijui anafikiria nini..?
swala la bajeti kupitiliza hilo sio swala late wananchi maana mimi sina taarifa za nchi nzima kuwa serikali iliweka billion 200 kwaajili ya afya halafu ikatumika 227!.
Kama wanataka tulipie waseme bayana waache kurukaruka!, serikali swala la afya kuweni makini sana sio swala la mchezo afya ndio nchi.
Ujinga wako usiwe mzigo kwa wengine.
 
Siasa tu hizi,nenda field ukajionee!
 
Sasa kumekuchaaa, jogoo limekwishawika Dodomaaa....Poti ulanzi bado haujaisha Iringa, omba kwa mteule uachie ngazi, kinachoendelee ni taa nyekundu usingojee kutumbuliwa, chezea miaka mingine huu ni mwaka wa uchaguzi.
Key word, POTI. Kwa hiyo atarejea kibaruani?
 
Ukienda Field kwenyewe hakuna kitu kama hicho Pesa kwanza kisha matibabu ndiyo yanafuata ,ukienda pale hata UTUMBO huko nje watadai pesa kwanza.
 
Ni kina nani wanachangia mamilioni kwenye harusi ilihali hawana Bima ya Afya?

Hakuna mtu anayechangia hizo pesa kwenye harusi akakosa fedha ya huduma ya uzazi. Tuache kupotosha, tatizo ni umaskini na maskini wenyewe ndio waathirika.
 
"Unachanga Milioni moja kwenye harusi, huna pesa ya labor"

Well Said!!
 
Hi
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa hospitali zote za umma na binafsi zinapaswa kuwahudumia wajawazito na wagonjwa wa dharura bila masharti ya malipo ya awali.

Ametoa kauli hiyo bungeni Ijumaa, Januari 31, 2025, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest, kuhusu changamoto za wanawake wanaoshindwa kupata vifaa vya kujifungua.

"Tunatoa maelekezo mahususi kwamba mama na mtu yeyote wa dharura akifika hospitalini ni lazima apate huduma kwanza. Si sahihi kuulizwa fedha au chochote kabla ya kupatiwa matibabu," amesema Dkt. Mollel.

Hata hivyo, ameeleza kuwa gharama za huduma kwa akina mama na watoto zinaendelea kuwa changamoto kubwa kwa serikali. Amesema kwa mwaka 2024, gharama hizo zilifikia Shilingi bilioni 227, wakati bajeti ya huduma zote za afya ilikuwa Shilingi bilioni 200.

"Tunajitahidi kuweka mizania, lakini ukweli ni kwamba baadhi ya wananchi hawajali maandalizi ya afya zao. Unakuta mtu huyo huyo hana bima ya afya lakini anachangia mamilioni kwenye harusi, halafu akifika hospitali anataka huduma bure. Serikali imetumia Shilingi bilioni 661 kwa msamaha wa huduma za afya mwaka juzi, lakini tukubaliane kuwa kupanga ni kuchagua," amesisitiza.

Kauli hiyo ya serikali imekuja baada ya Mbunge Anatropia Theonest kulifikisha bungeni sakata la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye alinukuliwa akisema "wajawazito wasiotaka kununua glavu wakajifungulie nyumbani".

Mbunge huyo ameeleza kuwa kauli kama hizo kutoka kwa viongozi wa serikali zinakatisha tamaa na zinaweza kuchangia vifo vya wajawazito.

"Wakati mwingine kukosa vifaa husababisha maambukizi na hata vifo wakati wa kujifungua. Ni nini kauli ya serikali kwa wanawake hawa, lakini pia kwa viongozi waliopaswa kuwasaidia badala ya kuwakatisha tamaa?" amehoji Anatropia.

Akijibu hoja hiyo, Dkt. Mollel amesema kauli za viongozi mara nyingi hupotoshwa kwa kuchukuliwa vipande vidogo vya mazungumzo yao, hivyo ni muhimu kuelewa muktadha wa kile kilichosemwa kabla ya kutoa hitimisho.
See translation



View attachment 3219734
Huku tuliko hali ni Tete mno tu.
 
Serikali inalalamika kulipia bil 277 Kwa mwaka Kutoa huduma ya mama kujifungua? Hivi sisi tuna matatizo gani?
Haijalalamika

Alichoweka Mollel ni Hali halisi

Meaning bila sisi kujipukuta na kuchangia mzigo unakua mkubwa…. Hatq usa hakuna bure

What matters ni more and more people kupata bima za afya ilo pesa izinguke na kuhudumia wengi
 
Back
Top Bottom