Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiasi gani cha pesa kinachotumika kununulia magari ya fahari wakurugenzi wa halmashauri na wakuu wa idara?Hata hivyo, ameeleza kuwa gharama za huduma kwa akina mama na watoto zinaendelea kuwa changamoto kubwa kwa serikali. Amesema kwa mwaka 2024, gharama hizo zilifikia Shilingi bilioni 227, wakati bajeti ya huduma zote za afya ilikuwa Shilingi bilioni 200.
Wanalalamikia huduma za afya ya mama na mtoto wakati huo huo wanachezea hela kwa kununuliana magari ya bei mbaya.Serikali inalalamika kulipia bil 277 Kwa mwaka Kutoa huduma ya mama kujifungua? Hivi sisi tuna matatizo gani?