Mbunge Ahoji, Kwanini Tanga Cement Ilazimishwe Kuuzwa Twiga Cement

Mbunge Ahoji, Kwanini Tanga Cement Ilazimishwe Kuuzwa Twiga Cement

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

KUNTI MAJALA AHOJI KWANINI TANGA CEMENT ILAZIMISHWE KUUZWA TWIGA CEMENT

Mhe. Kunti Majala, Mbunge wa Viti Maalum tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishw akwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara iliyosomwa na Waziri mwenye dhamana Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji

"Mfano mimi Kunti nikaona nimefilisika katika biashara yangu na sioni dalili huko mbele ya kuendelea nayo, nitatangaza ili nipate watu wengine mbadala waje wanunue, lakini ni kwanini sasa tunalazimisha Twiga Cement ndio iinunue Tanga Cement?" - Mhe. Kunti Majala, Mbunge Viti Maalum

"Mimi najiuliza tu kama mwekezaji wa Tanga Cement amefilisika na anaona hawezi kuendelea na biashara kwanini achague mtu wa kumuuzia hiyo biashara yake?. Nauliza tena hivi ni yeye (Tanga Cement) anachagua mtu wa kumnunua au Serikali ndio itamchagua mtu wa kumnunua" - Mhe. Kunti Majala, Mbunge wa Viti Maalum.

FvS4EXeX0AM41rB.jpg
 
Tuombe orodha ya wanahisa wa twiga cement katika awamu ya sita.
 
Back
Top Bottom