Mbunge aliyeongoza kuapishwa kwa Raila Odinga jana akamatwa

Mbunge aliyeongoza kuapishwa kwa Raila Odinga jana akamatwa

Nimekupata ya Lissu ilikuwa ni akshen kwenye Bongo movie. Sikujua.
Mkui rogo mlitandika ngap vileeee

Sasa huyu bwege huku eti magazine yote inaisha bado kashindwa kulenga kichwa cha nyoka 'liss.a'
 
Kwa mfano katiba imesema ufanye mkutano wa siasa lakini umepewa wakati maalum kumaliza ukizidisha unaweza kushitakiwa.
 
Mbona aliyeapishwa ambaye ndiye mhusika mkuu hakamatwi?, Kenya acheni ubabaishaji, mbona mnaendesha nchi kihuni namna hiyo?
Unaharaka kama mkojo wa asbh au chakwanza,kwanza mambo ya kenya hayakuhusu pia hawakurupuki kama chadomo na cdna flash zenu
 
Sijakuelewa unatulaumu wakenya kuhusu Lissu alivopigwa risasi au? Labda hao wasojulikana wote wana kengeza. Hayatuhusu kama vile tu ya Kenya hayawahusu. Vipi tunangoja mlipe deni pale hospitalini afu tutamkubalia arudi. Hutasikia akihusishwa tena na sisi baada ya hapo. Pesa kwanza ndo lugha ya sisi manyang'au.
Tuko wengi tu!
Shkamoo Pesa
 
Unaharaka kama mkojo wa asbh au chakwanza,kwanza mambo ya kenya hayakuhusu pia hawakurupuki kama chadomo na cdna flash zenu
Mambo ya Kenya yananihusu sana, kwasababu wakati wa uchaguzi mamia ya wakenya wanakuja huku kuja kujificha, pili Kenya inategemea chakula toka Tanzania, tatu wakenya wengi sana wapo huku kama investors, walimu, wakulima na wanaotafuta kazi.
 
Kwenye kama Kenya ambako mihimili ya dola inao uhuru kamiki, Mahakama ni lazima iheshimiwe!
 
Mambo ya Kenya yananihusu sana, kwasababu wakati wa uchaguzi mamia ya wakenya wanakuja huku kuja kujificha, pili Kenya inategemea chakula toka Tanzania, tatu wakenya wengi sana wapo huku kama investors, walimu, wakulima na wanaotafuta kazi.
Acha blah blah blah sema tu ulinyang'anywa shamba ama pesa na mkenya. Usione aibu, mwenzako Geza Ulole alishatubu. Nyang'au huwa halali darasani akiona mbumbumbu kama wewe. 😀
 
Acha blah blah blah sema tu ulinyang'anywa shamba ama pesa na mkenya. Usione aibu, mwenzako Geza Ulole alishatubu. Nyang'au huwa halali darasani akiona mbumbumbu kama wewe. 😀
Mimi sijanyang'anywa shamba, ila ndugu yangu aliuliwa na majambazi toka Kenya walipovamia Benki hapo Moshi.
 
Lisu alishatoka Nairobi baada ya kugundua ninyi ni wababaishaji hamna mnalojua, yupo Ubelgiji baada ya kuona mnampotezea muda lakini hamna uwezo hata wa kutoa risasi mwilini, that shithole country. Wapi Msando, wapi Jacob Juma, wapi Makaburi, wapi Rogo na wapi Bosi wa Modern Coast Buses, just few to mention.
Wewe kibwengo acha kulialia. Unatanua tanua na mambo ya ubelgiji? Mbona hakutibiwa huko huko bongo? Kama vipi ikikuwasha sana chokonoa!
 
Wewe kibwengo acha kulialia. Unatanua tanua na mambo ya ubelgiji? Mbona hakutibiwa huko huko bongo? Kama vipi kama imekuwasha sana chokonoa!
Eti anatoroka medically advanced country, anakwenda nchi ambayo ilishindwa hata kunyoosha pua la Issac Rutto[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom