Msukuma katisha.
Unaishi nchi gani?Bw. Msukuma wa Geita siyo mbunge, ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Geita.
Unaishi nchi gani?
walikutana na Madam kwenye kampeniI am very sorry, ni kweli: Joseph Kasheku Msukuma (CCM). Nimehakikisha kwenye website ya NEC, mshindi kwa kura 44,313.
Msukuma
Mbunge tena wa Geita mjini,japo kaishia la4
Haaaaaa mie niliwahigi kuwauzia story moja... walivyoitoa kwenye gazeti na kisa nilichowapa tofauti kabisa... chumvi kibao
Nikaishia kuingia kwenye ugomvi tu
Joseph musukuma
we kenge huwezi kunikosoa bila matusi?we pimbi kakudanganya nani uyu jamaa ni geita mjini?
unawauziaje story? maana nna mafile sina pa kuyamwaga
Hivi umeme na maji alishalipa?
Ashahama pale... kahamia kwenye mjumba mwingine..