Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Hivi ni huyu wa Geita mwenye helikopta?kuna siku iliandikwa humu jf kuwa walikuwa wanakula bata sehemu iitwayo Geita Desire Park!!

musukuma!! 😃
 
Bw. Msukuma wa Geita siyo mbunge, ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Geita.

Sio Kweli Joseph Msukuma Ni Mbunge Wa Jimbo La Geita VIJIJINI!!!! Kweli Pia Alikuwa M/kiti Wa CCM Mkoa Wa Geita Na Anaendelea Kuwa Hivyo!!!
 
Mr blue,TID,chaz baba wote si wamesha mkaza Wema? mbona wamesahaulika kwenye list ya walioonja tunda la huyo binti.
 
Heshima ni kitu cha bure na sidhani kama umetumia hata akili ndg tuu kumdhihaki na kumdhalilisha binti wa watu kwa kumuita malaya na demu wa chama! Jiheshimu kuna namna ya kuchangia mada na si kudhalilisha watu

Kwani uongo? Hivi Tanesco walipoonyesha kwenye tv kuhusu wizi wake wa Umeme ulimuona nani alikutwa nani? na kuhojiwa? Huyu malaya
 
mara anataka kurudiana na diamond mara ana mimba ya mbunge tushike lipi sasa. Dianond atalea mimba ya mbunge.
 
huyo mbunge kabila gani ? mimi hata kama leo hii wema ananipa .... yake lazima nivai kondom mbili hadi tatu. namshangaa huyo aliyemla kavu kavu kweli hapa kazi tu.
Hata mimi bado nashangazwa na jambo hili duu.
 
Back
Top Bottom