Mbunge ana mamlaka ya kumwagiza Rais ila mkuu wa mkoa haruhusiwi na hana mamlaka hayo

Mbunge ana mamlaka ya kumwagiza Rais ila mkuu wa mkoa haruhusiwi na hana mamlaka hayo

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Elimu ya uongozi ni muhimu sana, separation of power wengi inawapiga chenga, Muhimu tujue. Nchi yoyote ya kidemokrasia bunge ndo lenye nguvu ndio mana Rais anaweza kutolewa na bunge kama watapiga vote of no confidence.

Sasa inakuwaje mkuu wa mkoa ambae kimsingi ni mdogo kwa mbunge aanze kukoroma na kukejeli mbunge hadharan. Bunge likae limuwajibishe huyu mtu.

Mteule wa Rais ni Mtu mdogo sana mbele ya kiongozi aliyechaguliwa na umma hata mwenyekiti wa Kijiji ni mkubwa kama unaona rahisi ingia jukwani ukagombee. Ndio mana Marehem Manji alienda kuwa Diwani

Makonda kuwa na nidhamu heshimu wakubwa zako,, Mrisho gambo anamamlaka ya kumtuma WAZIRI aende jimboni kuangalia utekelezaji wa miradi ila wewe huna hayo mamlaka
 
Waziri alikuwa anapigwa pigwa begani na makonda

Body gesture na body language nani unaona ni mkubwa kwa mwenzake?

Separation of power is merely a theoretical tu kitu halisi ni kile unakiona kinaendelea

Mtu akishakutana na Yesu Kristo hamwitaji malaika hata kama ni gabriel
Elimu ya uongozi ni muhimu sana, separation of power wengi inawapiga chenga, Muhimu tujue. Nchi yoyote ya kidemokrasia bunge ndo lenye nguvu ndio mana Rais anaweza kutolewa na bunge kama watapiga vote of no confidence.

Sasa inakuwaje mkuu wa mkoa ambae kimsingi ni mdogo kwa mbunge aanze kukoroma na kukejeli mbunge hadharan. Bunge likae limuwajibishe huyu mtu.

Mteule wa Rais ni Mtu mdogo sana mbele ya kiongozi aliyechaguliwa na umma hata mwenyekiti wa Kijiji ni mkubwa kama unaona rahisi ingia jukwani ukagombee. Ndio mana Marehem Manji alienda kuwa Diwani

Makonda kuwa na nidhamu heshimu wakubwa zako,, Mrisho gambo anamamlaka ya kumtuma WAZIRI aende jimboni kuangalia utekelezaji wa miradi ila wewe huna hayo mamlaka
 
Elimu ya uongozi ni muhimu sana, separation of power wengi inawapiga chenga, Muhimu tujue. Nchi yoyote ya kidemokrasia bunge ndo lenye nguvu ndio mana Rais anaweza kutolewa na bunge kama watapiga vote of no confidence.

Sasa inakuwaje mkuu wa mkoa ambae kimsingi ni mdogo kwa mbunge aanze kukoroma na kukejeli mbunge hadharan. Bunge likae limuwajibishe huyu mtu.

Mteule wa Rais ni Mtu mdogo sana mbele ya kiongozi aliyechaguliwa na umma hata mwenyekiti wa Kijiji ni mkubwa kama unaona rahisi ingia jukwani ukagombee. Ndio mana Marehem Manji alienda kuwa Diwani

Makonda kuwa na nidhamu heshimu wakubwa zako,, Mrisho gambo anamamlaka ya kumtuma WAZIRI aende jimboni kuangalia utekelezaji wa miradi ila wewe huna hayo mamlaka
Kuna mkuu wa mkoa na kuna Makonda, that guy has no respect to other person than the president, sijui kwanini hajifunzi masponser hufa, aliteseka sana after Jiwe's death lakini kaonewa huruma bado ni yale yale..jeuri na Kiburi
 
Elimu ya uongozi ni muhimu sana, separation of power wengi inawapiga chenga, Muhimu tujue. Nchi yoyote ya kidemokrasia bunge ndo lenye nguvu ndio mana Rais anaweza kutolewa na bunge kama watapiga vote of no confidence.

Sasa inakuwaje mkuu wa mkoa ambae kimsingi ni mdogo kwa mbunge aanze kukoroma na kukejeli mbunge hadharan. Bunge likae limuwajibishe huyu mtu.

Mteule wa Rais ni Mtu mdogo sana mbele ya kiongozi aliyechaguliwa na umma hata mwenyekiti wa Kijiji ni mkubwa kama unaona rahisi ingia jukwani ukagombee. Ndio mana Marehem Manji alienda kuwa Diwani

Makonda kuwa na nidhamu heshimu wakubwa zako,, Mrisho gambo anamamlaka ya kumtuma WAZIRI aende jimboni kuangalia utekelezaji wa miradi ila wewe huna hayo mamlaka
Mwambie Gambo awe anaenda kwenye vikao siyo kupiga kelele za uongo mitaani tu. Hapo utakuwa umemsaidia zaidi kuliko pumba ulizotoa hapa.
 
toeni unafki hapa ....kipindi icho gambo anamleta kasi lema nyie ndo mlikuwa mnashadadia sababu ni upinzani sasa kimeanza kuwaramba mnaanza lalamika tulieni dawa iingie muosha huoshwa
 
Hivi unadhani Makonda na Waziri ..kwa Scenario ile...nani mwenye Nguvu?
Makonda ni mwana siasa mgumu kwelikweli..kama huamini nitajie RC mwingine aliyewahi kuwa Mwenezi wa chama tawala
Agrey Mwanri-Former RC Tabora, Daniel Chongolo-RC Iringa etc. wapo wengi tu
 
Wewe ndo Mrisho eee.

Uwe unaenda kwenye vikao. Hizo ziara hujaziitisha wewe, kama vipi usubirie utakazotoa mialiko ndo uwe msemaji.

Vinginevyo njoo kwenye vikao. Shubamiit 😀😀😀
 
Back
Top Bottom