Mbunge ana mamlaka ya kumwagiza Rais ila mkuu wa mkoa haruhusiwi na hana mamlaka hayo

Mbunge ana mamlaka ya kumwagiza Rais ila mkuu wa mkoa haruhusiwi na hana mamlaka hayo

Elimu ya uongozi ni muhimu sana, separation of power wengi inawapiga chenga, Muhimu tujue. Nchi yoyote ya kidemokrasia bunge ndo lenye nguvu ndio mana Rais anaweza kutolewa na bunge kama watapiga vote of no confidence.

Sasa inakuwaje mkuu wa mkoa ambae kimsingi ni mdogo kwa mbunge aanze kukoroma na kukejeli mbunge hadharan. Bunge likae limuwajibishe huyu mtu.

Mteule wa Rais ni Mtu mdogo sana mbele ya kiongozi aliyechaguliwa na umma hata mwenyekiti wa Kijiji ni mkubwa kama unaona rahisi ingia jukwani ukagombee. Ndio mana Marehem Manji alienda kuwa Diwani

Makonda kuwa na nidhamu heshimu wakubwa zako,, Mrisho gambo anamamlaka ya kumtuma WAZIRI aende jimboni kuangalia utekelezaji wa miradi ila wewe huna hayo mamlaka
Gambo aliyomfanyia lema yanamrudia. Ila mako ni mtu ambaye akiwa na viongozi hata waziri mkuu yeye anajifanya ni top. Uliona alivyokwua anazungumza huku akimgonga gonga waziri kwenye mabega? Ile ni tabia yake siku zote haijalishi yuko na nani kasoro rais. Ile tabia ya kumshika mtu bega kama vile kwa kawaida huwa mtu anaifanya kwa mtu ambaye kwake anamwona dogo.
Pipa na dumu vilikutana
 
Makonda kuwa na nidhamu heshimu wakubwa zako,, Mrisho gambo anamamlaka ya kumtuma WAZIRI aende jimboni kuangalia utekelezaji wa miradi ila wewe huna hayo mamlaka
Wabunge wenyewe hawa guts kwa sababu wanajua hawapo kihalali, wamebebwa na Chama, Hizo Guts za kumkoromea Mkuu wa moa kama makonda, Waziri wanatoa wapi. They only trained to Clap their hands!
Go makonda Goooo Goooo!
 
Waziri alikuwa anapigwa pigwa begani na makonda

Body gesture na body language nani unaona ni mkubwa kwa mwenzake?

Separation of power is merely a theoretical tu kitu halisi ni kile unakiona kinaendelea

Mtu akishakutana na Yesu Kristo hamwitaji malaika hata kama ni gabriel
Hana adabu tu, ni kiongozi wa nchi za kipumbav kama zetu ndoanafanya hivyo
 
Yani gambo aende kwenye vikao vya mkuu wa mkoa? Hhhhhahahah aache kwenda vikao vya bunge na wananchi aende huko kwa wasiojitambua
Wewe ndo Mrisho eee.

Uwe unaenda kwenye vikao. Hizo ziara hujaziitisha wewe, kama vipi usubirie utakazotoa mialiko ndo uwe msemaji.

Vinginevyo njoo kwenye vikao. Shubamiit 😀😀😀
Kama
 
Hivi unadhani Makonda na Waziri ..kwa Scenario ile...nani mwenye Nguvu?
Makonda ni mwana siasa mgumu kwelikweli..kama huamini nitajie RC mwingine aliyewahi kuwa Mwenezi wa chama tawala
AMOS MAKALA
 
toeni unafki hapa ....kipindi icho gambo anamleta kasi lema nyie ndo mlikuwa mnashadadia sababu ni upinzani sasa kimeanza kuwaramba mnaanza lalamika tulieni dawa iingie muosha huoshwa
Violence is never an option, hata kama alifanyia mwezake pia haihalalishi na yeye afanyiwa hivyo. Upuuzi tutaupinga no matter umetoka Chama gn na una cheo gn
 
Achana na Mbunge tu hata layman yoyote sababu ndio mlipa Kodi na hawa ni watumishi ni his / her civic duty kutoa maoni yake what it should be..., Na kinachofanyika wala isiwe uamuzi wa mtu bali maamuzi ya wadau husika....

Haya mambo ya kuchukua theories na kutaka kwenda by the book ndio yanatufanya kushindwa kukemea upuuzi...

 
Ukisikia siku mbaya kazini ni ile ya Gambo alinyweaaa mpaka huruma, ila wale watu wanajuana na wana jambo lao ambao ni wachache sana wanalijua
Gambo bni mjinga , alitakiwa amjibu kama alivyofanya msigwa kumjibu KASESERA DC wa zamani wa Iringa akionesha mammlaka na nguvu ya Mbunge aliyepigiwa kura!!! Kuliko kiongozi wa kuteuliwa na Rais.
 
Violence is never an option, hata kama alifanyia mwezake pia haihalalishi na yeye afanyiwa hivyo. Upuuzi tutaupinga no matter umetoka Chama gn na una cheo gn
my friend hio ni principle ya ulimwengu utachomfanyia mtu ndicho utachofanyiwa regardless what mungu atupe uhai ila utakuja ona haya mambo yanamrudia kondaboy mwenyewe
 
Back
Top Bottom