Nani amekuzuia kuuza mazao nje ya nchi?Upumbavu wa mbunge huyu,kabla ya kuikazania serikali yake iwe na soko huria ili mkulima auze mazao yake popote anapotaka even nje ya nchi yeye anaingiza politics hapa,covid money zimetengwa kwa shughuli hiyo na si vinginevyo
Mpumbavu kama baba yake,amwambie rais wake atoe pesa hazina nchi hii tajiri sana imejaa pesa mpka zinakosa kaziKutokana na uzalishaji mkubwa wa mahindi uliofanyika mwaka huu na kupelekea bei ya mahindi kushuka sana, mbunge wa Namtumbo Vitar Kawawa ameiomba serikali itoe fedha inazopewa kama msaada wa kupambana na Corona kwenda kupambana na upungufu wa bei za wakulima ambao ni wanyonge na ikizingatiwa bei ya mbolea imepanda sana badala ya kuzikumbatia hizo hela kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kusadikika.
Ukizingua unazinguliwa Vita ni boya alichosema ni pumba kama mtuporiJikite kwenye hoja
Bei elekezi haiwezi kufanya kazi kwenye dunia ya soko huria, mahindi ya brazili, mexico yanauzwa Bei ya chini mno. wafanyabisshara ea mazao na ziondolewe kwa mkulima. suala la kufanya matumizi mabaya (matumizi mabaya) ni kichekesho .serikali ni vizuri ikashauriwa kufanya mambo yake kulinganisha na mipango na makisio na kwa ufanisiHaiwezekani ... Bei ya nguvu sio kipaumbele kwa sasa ...
Akili yako haina akiliBei elekezi haiwezi fanya kazi kwenye dunia ya soko huria,mahindi ya brazili,mexico yanauzwa Bei ya chini mno.serikali inaweza kuondoa Kodi zote za pembejeo kama mbolea,mbegu,madawa,gharama za maghala,diesel na niseme malighafi zote na hizo Kodi ziwekwe Finished goods,suala la misappropriete ni kichekesho .serikali ni vizuri ikashariwa la kufanya kwa ufanisi
Kwenu wangapi wametembelewa na Corona ?Pesa tumepewa tufanye moja, alafu sisi tunafanya jingine mbaya zaidi tunasema kwamba kazi tuliyopewa ni ya kusadikika..., Sisi kama omba omba ambao kesho tutaomba tena kwa mwendo huu tutapewa tena ?
Ningeelewa kama haya yangedanywa kwa kificho na sio kutangazia umati na dunia... In short huyu jamaa hayupo serious na kwa urefu ni kwamba anawaambia wananchi wake huu ugonjwa ni wa kusadikika.... All in all hana Busara
Wazo zuri sana ila atachukiwa na kuzushiwa zengwe na wenzie. Tetea wananchi hata kama watakufukuza utakuwa umetimiza wajibu wa kuwawakilisha wananchi wasio na kura ya veto hata kwenye uchaguzi veto yao inamwagiwa tindi-kaliKutokana na uzalishaji mkubwa wa mahindi uliofanyika mwaka huu na kupelekea bei ya mahindi kushuka sana, mbunge wa Namtumbo Vitar Kawawa ameiomba serikali itoe fedha inazopewa kama msaada wa kupambana na Corona kwenda kupambana na upungufu wa bei za wakulima ambao ni wanyonge na ikizingatiwa bei ya mbolea imepanda sana badala ya kuzikumbatia hizo hela kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kusadikika.
Limebaki Bunge la wapuuzi Tu, mbumge hajui frdha za wafadhili zinagikaje?Kutokana na uzalishaji mkubwa wa mahindi uliofanyika mwaka huu na kupelekea bei ya mahindi kushuka sana, mbunge wa Namtumbo Vitar Kawawa ameiomba serikali itoe fedha inazopewa kama msaada wa kupambana na Corona kwenda kupambana na upungufu wa bei za wakulima ambao ni wanyonge na ikizingatiwa bei ya mbolea imepanda sana badala ya kuzikumbatia hizo hela kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kusadikika.
Duh!!! Siyo kupambana nba covid 19!!! Kwani zinatolewa ili zinunue mahindi? Ngoja mabeberu wasikie mmenunulia mahindi!!!Kutokana na uzalishaji mkubwa wa mahindi uliofanyika mwaka huu na kupelekea bei ya mahindi kushuka sana, mbunge wa Namtumbo Vitar Kawawa ameiomba serikali itoe fedha inazopewa kama msaada wa kupambana na Corona kwenda kupambana na upungufu wa bei za wakulima ambao ni wanyonge na ikizingatiwa bei ya mbolea imepanda sana badala ya kuzikumbatia hizo hela kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kusadikika.