#COVID19 Mbunge aomba pesa za COVID-19 zitumike kununua mahindi ya wakulima

Bora tutapata hela tayari
 
Wazo zuri sana ila atachukiwa na kuzushiwa zengwe na wenzie. Tetea wananchi hata kama watakufukuza utakuwa umetimiza wajibu wa kuwawakilisha wananchi wasio na kura ya veto hata kwenye uchaguzi veto yao inamwagiwa tindi-kali
Safi
 
Kwanza yeye Alisha chanja?kwa sababu adhabu iliyotolewa kwa gwajima wabunge wote waliunga mkono,kana kwamba wote wanaku baliana na kuchanja lasivyo inabidi wabunge wote wachanjwe kwa lazima.
 
Halafu siku waliotoa hiyo misaada yakianza kuhoji pesa yao mnawaita mabeberu na wanawapiga vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…