Tulia uandike vizuri.seeikalu itwambie na itoe ufafanyzi hizo fedha zinakwenda kufanya vitu gani hasa ambavyovimika?
Bora tutapata hela tayariKutokana na uzalishaji mkubwa wa mahindi uliofanyika mwaka huu na kupelekea bei ya mahindi kushuka sana, mbunge wa Namtumbo Vitar Kawawa ameiomba serikali itoe fedha inazopewa kama msaada wa kupambana na Corona kwenda kupambana na upungufu wa bei za wakulima ambao ni wanyonge na ikizingatiwa bei ya mbolea imepanda sana badala ya kuzikumbatia hizo hela kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kusadikika.
mmechukua za nini kama covid hakuna?Covid ipo kwenu?
Halafu siku waliotoa hiyo misaada yakianza kuhoji pesa yao mnawaita mabeberu na wanawapiga vitaKutokana na uzalishaji mkubwa wa mahindi uliofanyika mwaka huu na kupelekea bei ya mahindi kushuka sana, mbunge wa Namtumbo Vitar Kawawa ameiomba serikali itoe fedha inazopewa kama msaada wa kupambana na Corona kwenda kupambana na upungufu wa bei za wakulima ambao ni wanyonge na ikizingatiwa bei ya mbolea imepanda sana badala ya kuzikumbatia hizo hela kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kusadikika.