Pre GE2025 Mbunge Asenga apendekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, vyombo vyote virushe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Mbunge wa Kilombero, Abubakari Asenga amependekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, na vyombo vyote nchini virushe.

Hiki kituko ni cha mwaka kwa kweli, kwani hao TBC si waandae na kurusha wenyewe na usikilize kupitia kituo chao?


Your browser is not able to display this video.
 
Hio Taarifa ya habari iwe inaanza kwa Samia akishuka toka mawinguni kama ilivokuwa Zaire ya Mabutu kwenye taarifa ya habari ya usiku.

CCM ovyo kabisa, kwenye ulimwengu wa utandawazi,wanakuja na habari hizi.
 
Kwanini wakati kila mtu ana angel yake ya stori?
Kikubwa iwe na tija kwa jamii.
 
Hio Taarifa ya habari iwe inaanza kwa Samia akishuka toka mawinguni kama ilivokuwa Zaire ya Mabutu kwenye taarifa ya habari ya usiku.

CCM ovyo kabisa, kwenye ulimwengu wa utandawazi,wanakuja na habari hizi.
Ila Africa tunafanywa kama midori vile na hawa viongozi..
 
Awe mpole yule mtu akifa vyombo vya habari vyote vitarusha
 
Huyu analeta mawazo ya kizamani mnoo na yalishashindwa. Miaka ya 90 wakati Radio One ilikuwa ikiikimbiza Radio Tanzania, lililetwa hili wazo, Marehemu Mzee Mengi akalipinga Kwa nguvu na likafa.

Sasa Leo miaka 30 baadaye mtu analeta mawazo ya hovyo katika zama ambazo Radio zimeshajifia na zinachechemea. Tukubaliane tuu Wabunge wa CCM Wana upeo mdogo sana wa kufikiri
 
Huyu anataka kutupeleka muelekeo wa Korea Kaskazini ya Kim Kiduku.
 
Hawa ndio think tank wa CCM na wapo kwenye CC ya chama chao. Very hopeless person under the sun.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…