Pre GE2025 Mbunge Asenga apendekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, vyombo vyote virushe

Pre GE2025 Mbunge Asenga apendekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, vyombo vyote virushe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sampuli za wabunge wa namna hii Taifa haliwezi kusonga kamwe.
 
Wakuu

Mbunge wa Kilombero, Abubakari Asenga amependekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, na vyombo vyote nchini virushe.

Hiki kituko ni cha mwaka kwa kweli, kwani hao TBC si waandae na kurusha wenyewe na usikilize kupitia kituo chao?


Mbunge mpumbavu kabisa huyu. Yaani kabisa ameona jambo hilo ni la msingi kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake. Vyombo binafsi vinalipa kodi wasipotezewe muda na ngoma za Mzee Nyunyusa.
 
Back
Top Bottom