Tsh JF-Expert Member Joined Aug 26, 2021 Posts 17,022 Reaction score 36,936 Jan 30, 2025 #21 Akili za kijamaa uchwara.
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Jan 30, 2025 #22 Sampuli za wabunge wa namna hii Taifa haliwezi kusonga kamwe.
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Jan 30, 2025 #23 Nchi za ujamaa ni nchi za kipumbafu sana
mbwangali JF-Expert Member Joined Jan 8, 2021 Posts 2,266 Reaction score 4,057 Jan 30, 2025 #24 Kwa akili hizi bora wakoloni warudi kututawala tu
M Matrix19 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2020 Posts 7,731 Reaction score 13,611 Jan 30, 2025 #25 Hivi kuna bunge linaendelea kumbe?
M Matrix19 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2020 Posts 7,731 Reaction score 13,611 Jan 30, 2025 #26 Break Time said: Education background ya mbunge wenu ina uhusiano mkubwa na alichozungumza, Kidumu chama tawala. View attachment 3218830 Click to expand... Huyu mpuuzi hii diploma kaisomaje mara mbili? Basi kuna shida sana!
Break Time said: Education background ya mbunge wenu ina uhusiano mkubwa na alichozungumza, Kidumu chama tawala. View attachment 3218830 Click to expand... Huyu mpuuzi hii diploma kaisomaje mara mbili? Basi kuna shida sana!
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 23,620 Reaction score 52,790 Jan 30, 2025 #27 Vijana wa namna hii wana mchango mdogo kwa taifa - John Pombe Magufuli
Bubu Msemaovyo JF-Expert Member Joined May 9, 2007 Posts 4,120 Reaction score 3,468 Jan 30, 2025 #28 Waufukweni said: Wakuu Mbunge wa Kilombero, Abubakari Asenga amependekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, na vyombo vyote nchini virushe. Hiki kituko ni cha mwaka kwa kweli, kwani hao TBC si waandae na kurusha wenyewe na usikilize kupitia kituo chao? View attachment 3218816 Click to expand... Mbunge mpumbavu kabisa huyu. Yaani kabisa ameona jambo hilo ni la msingi kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake. Vyombo binafsi vinalipa kodi wasipotezewe muda na ngoma za Mzee Nyunyusa.
Waufukweni said: Wakuu Mbunge wa Kilombero, Abubakari Asenga amependekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, na vyombo vyote nchini virushe. Hiki kituko ni cha mwaka kwa kweli, kwani hao TBC si waandae na kurusha wenyewe na usikilize kupitia kituo chao? View attachment 3218816 Click to expand... Mbunge mpumbavu kabisa huyu. Yaani kabisa ameona jambo hilo ni la msingi kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake. Vyombo binafsi vinalipa kodi wasipotezewe muda na ngoma za Mzee Nyunyusa.
S sysafiri JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 6,845 Reaction score 10,071 Jan 30, 2025 #29 Aise! Kazi kweli kweli.
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Jan 30, 2025 #30 Wana Kilombero msirudie makosa October.