Mbunge ashauri ajira za watumishi wa umma ziwe za mikataba

Mbunge ashauri ajira za watumishi wa umma ziwe za mikataba

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Akizungmza Bungeni, leo Februari 7, 2023, wakati wa kuchangia ripoti ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Mbunge Geoffrey Mwambe amesema Serikali inalazimika kulipa fedha nyingi katika miradi mbalimbali kutokana na usimamizi na uwajibikaji mdogo wa baadhi ya watendaji wa Serikali.

Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
 
Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
Hii isiishie kwa wafanyakazi wa serikali bali iende mpaka kwa wanasiasa hasa wakiwemo na wabunge! Hataka kama Mbunge kafanya miezi miwili tu akiboronga aachie ngazi.
 
Hii isiishie kwa wafanyakazi wa serikali bali iende mpaka kwa wanasiasa hasa wakiwemo na wabunge! Hataka kama Mbunge kafanya miezi miwili tu akiboronga aachie ngazi.
haha haha hapa hawezi kuchangia hoja! MWAMBE ni Mpumbafu sana! Hajui kumuandaa mfanyakaz wa serikali ni gharama kubwa! kuna wtu wana siri za nchi unaanzaje kuwapa mikataba
 
Akizungmza Bungeni, leo Februari 7, 2023, wakati wa kuchangia ripoti ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Mbunge Geoffrey Mwambe amesema Serikali inalazimika kulipa fedha nyingi katika miradi mbalimbali kutokana na usimamizi na uwajibikaji mdogo wa baadhi ya watendaji wa Serikali.

Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
hii ianze kwa wabunge wenyewe kwanza
 
Akizungmza Bungeni, leo Februari 7, 2023, wakati wa kuchangia ripoti ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Mbunge Geoffrey Mwambe amesema Serikali inalazimika kulipa fedha nyingi katika miradi mbalimbali kutokana na usimamizi na uwajibikaji mdogo wa baadhi ya watendaji wa Serikali.

Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
Haya tulisha shauri sn maana watu wanafanya kazi kwa mazoea
 
Akizungmza Bungeni, leo Februari 7, 2023, wakati wa kuchangia ripoti ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Mbunge Geoffrey Mwambe amesema Serikali inalazimika kulipa fedha nyingi katika miradi mbalimbali kutokana na usimamizi na uwajibikaji mdogo wa baadhi ya watendaji wa Serikali.

Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
Haya tulisha shauri sn maana watu wanafanya kazi kwa mazoea
 
Ajira ya mkataba huijui ndo maan
Aseee mtu unakuwa unanyanyasik sana
Bima hauna
Allowanc. Unayoipta n overtime na safar tu.
 
Kwahiyo kuna mtumishi wa umma anafanya kazi bila mkataba?
Sheria ya TANZANIA pamoja na katiba yake ni bora sana. Tatizo ni usimamizi wa CCM.
Tumefika wakati traffic anachukua pesa mchana kweupe bila kuogopa CHOCHOTE. Na hili la trafiki na police kula rushwa linahitaji katiba mpya au tuwape mikataba mifupi ili wale haraka?
Mimi nikijua kazi yangu ni ya mkataba si taiba nyingi kwa wakati mfupi.
 
Ajira ya mkataba huijui ndo maan
Aseee mtu unakuwa unanyanyasik sana
Bima hauna
Allowanc. Unayoipta n overtime na safar tu.
Sio kweli. private companies nyingi huto mikataba na mbona wanatoa bima, na Wala hakuna manyanyaso bali performance yako tu.
Allowance zipo za kutosha tu. Sijui unazungumzia kampuni ipi hapa. japo zipo ambazo zina hayo uliyosema
 
Inafaa sana hii.

Mwisho wa mkataba unaomba ku-renew na inafanyika assessment kama ni mzigo unatolewa nje au mkataba ukiisha nafasi inatangazwa unashindanishwa na wengine huko nje.

Itakuwa kasheshe kwelikweli.
 
haha haha hapa hawezi kuchangia hoja! MWAMBE ni Mpumbafu sana! Hajui kumuandaa mfanyakaz wa serikali ni gharama kubwa! kuna wtu wana siri za nchi unaanzaje kuwapa mikataba
We ni mjinga kwa hiyo mtu akiwa na siri za serikali ndio afanye anavyojisikia kazini.
umetoa mchango wa ovyo!
 
Zipo mpaka probation ila still ishu ya kubebana ipo milele..Hata kesi za kuchelewa kazini watu kudodge hata wiki haonekani kazini bila taarifa zipo kibao ila hamna atakayechukua hatua kwa sababu watu wote ni zao la mfumo huohuo.
 
Akizungmza Bungeni, leo Februari 7, 2023, wakati wa kuchangia ripoti ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Mbunge Geoffrey Mwambe amesema Serikali inalazimika kulipa fedha nyingi katika miradi mbalimbali kutokana na usimamizi na uwajibikaji mdogo wa baadhi ya watendaji wa Serikali.

Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
Kwa wafanyakazi wa vyeo vya chini kuwe na out sos workers
 
Akizungmza Bungeni, leo Februari 7, 2023, wakati wa kuchangia ripoti ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Mbunge Geoffrey Mwambe amesema Serikali inalazimika kulipa fedha nyingi katika miradi mbalimbali kutokana na usimamizi na uwajibikaji mdogo wa baadhi ya watendaji wa Serikali.

Amesema “Tujaribu kufikiria kama Bunge, hii tabia ya kufanya kazi kwa mazoezi na kuwa huwezi kufukuzwa kazi kirahisi ndani ya Serikali tuendelee nayo au tuhamie katika ajira za mikataba, ukisababisha hasara kwa Serikali unaondoka.”
Outsource workers
 
Sio kweli. private companies nyingi huto mikataba na mbona wanatoa bima, na Wala hakuna manyanyaso bali performance yako tu.
Allowance zipo za kutosha tu. Sijui unazungumzia kampuni ipi hapa. japo zipo ambazo zina hayo uliyosema
Serikalin mkataba wa mwaka hupati Bima🤚
 
Back
Top Bottom