Wabunge nao wawe wanaenda bungeni na magari yao binafsi na wala wasinunuliwe yale mashangingi...
Wabunge wawe wanaenda na viti vyao kwenye ukumbi wa bunge, wala serikali isiingie gharama kununua zile comfy auditorium seats...
Ikiwezekana wabebe na vipaza sauti vyao