Pre GE2025 Mbunge Atupele Mwakibete Achangia TZS Milioni 10 Ujenzi wa Ofisi za CCM Busokelo

Pre GE2025 Mbunge Atupele Mwakibete Achangia TZS Milioni 10 Ujenzi wa Ofisi za CCM Busokelo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

WhatsApp Image 2024-12-29 at 22.15.10.jpeg

Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete, amechangia mchango wa shilingi Milioni 10 kw ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Busokelo.

"Hii ni kutokana na changamoto ambazo wanachama wanakutana nazo wanapohitaji huduma za Chama, ambapo walikuwa wanalazimika kusafiri umbali wa Kilomita 50 kufuata huduma hizo wilayani Rungwe" Mhe. Atupele Mwakibete

Aidha, Mwakibete amewataka wadau mbalimbali kuendelea kutoa michango katika shughuli za maendeleo ili kuhakikisha huduma kwa wanachama wa CCM katika jimbo la Busokelo zinakuwa rahisi na za haraka.
 
Back
Top Bottom