Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mbunge wa Jimbo la Busokelo,Atupele Fredy Mwakibete ameongoza kukusanywa zaidi ya Shilingi Milioni 27 katika harambee ya Ununuzi wa gari aina ya Coastar ya Kwaya kuu ya Usharika huo.
Akizungumza kwa niaba ya Mgeni rasmi ambaye ni spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mwakibete amesema kuwa risala iliyosomwa na kukabidhiwa ataiwasilisha kwa Mheshimiwa Spika hivyo lolote atakalo ambiwa basi hatosita kutoa mrejesho.
Mbali na uwakilishi,Mheshimwa Mwakibete kama Mbunge na Mtumishi wa Busokelo ameshiriki sadaka hiyo ya Harambee kwa kutoa Shilingi Milioni 5.3(Milioni Tano na Laki Tatu) ili kuwaunga Mkono Kwaya Kuu KKKT Usharika wa Kandete Jimbo la Mwakaleli.
Akizungumza kwa niaba ya Mgeni rasmi ambaye ni spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mwakibete amesema kuwa risala iliyosomwa na kukabidhiwa ataiwasilisha kwa Mheshimiwa Spika hivyo lolote atakalo ambiwa basi hatosita kutoa mrejesho.
Mbali na uwakilishi,Mheshimwa Mwakibete kama Mbunge na Mtumishi wa Busokelo ameshiriki sadaka hiyo ya Harambee kwa kutoa Shilingi Milioni 5.3(Milioni Tano na Laki Tatu) ili kuwaunga Mkono Kwaya Kuu KKKT Usharika wa Kandete Jimbo la Mwakaleli.