Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mbona Rais akifa makamu wake anamrithi bila uchaguzi?Hapana, wape wananchi haki ya kuchagua wanayemtaka, siyo kamati za watu. Quite undemocratic.
Ila kama watanzania kupitia sanduku la kura wamekubali utaratibu huo, it is well and fine.