Mbunge Bonna Kamoli atishia bungeni sakata la wananchi Kipunguni kupisha Airport, hawajalipwa fidia miaka 27 sasa

Mbunge Bonna Kamoli atishia bungeni sakata la wananchi Kipunguni kupisha Airport, hawajalipwa fidia miaka 27 sasa

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 leo Mei, 6, 2024 amesema ikiwa suala la fidia ya wananchi wa Kipunguni halitapatiwa maelezo ya kutosha, basi atashika shilingi na hataachia.

Amesema suala hilo limechukua muda mrefu wa takribani miaka 27 na hakuna jambo linaloendelea licha ya wananchi kupewa ahadi za kulipwa fidia zao mara kwa mara.
Kamoli amesema mwaka jana alifatwa na waziri wa uchukuzi na kumwambia sasa wako tayari kulipa na wakaenda wote Kipunguni. Anasema Serikali ilisema itaanza kuwalipa mwezi wa tisa mwaka jana na kuwapa miezi mitatu kuhama baada ya siku ya malipo hivyo wananchi walianza kuvunja nyumba zao kuondoa wapangaji.

Mbunge huyo amesema hawawezi kwenda kuomba kura kwa mazingira waliyoyatengeneza wenyewe.


Pia, soma


 
Hadi unakuwa CEO wenyewe bado watakuwa wanadai😀
Hadi Mungu anamchukua anatangulia. Siku yetu nayo ikifika tukienda alipo tukikutana naye na kutuuliza vipi huko bado wanadai? Tutamjibu ndio maamaee
 
Watu wamefariki na kuyaacha malipo.This is sad kamilisha vinginevyo hamia upinzani tukupigie kura la sivyo hupati ubunge na kura za madiwani na Rais mashaka Segerea
 
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 leo Mei, 6, 2024 amesema ikiwa suala la fidia ya wananchi wa Kipunguni halitapatiwa maelezo ya kutosha, basi atashika shilingi na hataachia.

Amesema suala hilo limechukua muda mrefu wa takribani miaka 27 na hakuna jambo linaloendelea licha ya wananchi kupewa ahadi za kulipwa fidia zao mara kwa mara.
Kamoli amesema mwaka jana alifatwa na waziri wa uchukuzi na kumwambia sasa wako tayari kulipa na wakaenda wote Kipunguni. Anasema Serikali ilisema itaanza kuwalipa mwezi wa tisa mwaka jana na kuwapa miezi mitatu kuhama baada ya siku ya malipo hivyo wananchi walianza kuvunja nyumba zao kuondoa wapangaji.

Mbunge huyo amesema hawawezi kwenda kuomba kura kwa mazingira waliyoyatengeneza wenyewe.


Pia, soma



Kati ya wabunge wa CCM ambaye hatarudi bungeni 2025 huyu ni mmojawapo
 
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Bonnah Kamoli akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 leo Mei, 6, 2024 amesema ikiwa suala la fidia ya wananchi wa Kipunguni halitapatiwa maelezo ya kutosha, basi atashika shilingi na hataachia.

Amesema suala hilo limechukua muda mrefu wa takribani miaka 27 na hakuna jambo linaloendelea licha ya wananchi kupewa ahadi za kulipwa fidia zao mara kwa mara.
Kamoli amesema mwaka jana alifatwa na waziri wa uchukuzi na kumwambia sasa wako tayari kulipa na wakaenda wote Kipunguni. Anasema Serikali ilisema itaanza kuwalipa mwezi wa tisa mwaka jana na kuwapa miezi mitatu kuhama baada ya siku ya malipo hivyo wananchi walianza kuvunja nyumba zao kuondoa wapangaji.

Mbunge huyo amesema hawawezi kwenda kuomba kura kwa mazingira waliyoyatengeneza wenyewe.


Pia, soma


msimu wa uchaguzi ndio huu danganya toto nyingi
 
This time hatudanganyiki na malipo ya fidia hewa walipe vinginevyo no kura na tutaeneza sumu jimbo zima
 
Kama hakuna mpango wa kufanya malipo tena watuambie tuendeleze maeneo yetu kuliko kuacha yanakuwa magifu
 
Back
Top Bottom