Mbunge CHADEMA atishiwa maisha, kisa fomu dhidi ya Mbowe

Pinga kwa hoja.....haya ww mwenyewe wide thoughts tupe hyo hyretorical words.....
 
...yaani Mbowe apite bila kupingwa Uenyekiti licha ya kuwa ameishi zaidi ya mida wa kikatiba."
Walinyofoa kipengele cha ukomo wa uongozi. Yaani Mbowe sasa ruksa kugombea tena na tena na kuongoza ikibidi mpaka 2070. Ndo maana CCM nao wanataka kucopy hii kitu ila cha kushangaza, CHADEMA hawapendi hata kusikia.
 
Wewe itakuwa umetumiwa na Mabeberu!
 
Kivuli cha Sumaye ni Jacob, kwa hiyo Jacob anampumulia nyuma Sumaye?
 
Chadema sio ccm acha porojo,tafuta hoja yenye maslai kwa taifa hayo ya uvyama huyawezi.
 
Labda katishiwa na ccm wenzake
 
Halafu utaona makamanda uchwara wanaanza kujitutumua na kizungu chao cha ugoko, duh. Yaani alimradi tu waonekane eti ndio wana akili. Kazi ipo mwaka huu.
Think twice my friend the wise men are on other side, but the power mongers think how to kill other.
 
Nhoja uione minyumbu ya ufipa inavyopovuka humu
 
Hata ya sumaye?

Nadhani watu hawamwelewi vizuri Mh Sumaye waziri mkuu mstaafu.

Mh Sumaye ni kiongozi pekee Tanzania ambaye baaadaya kuhudumu muda wa miaka kumi kama waziri mkuu hajawa na kasha ya ufisadi licha ya kukihama chama tawala.

Mh Sumaye ndio kiongozi pekee ambao baada ya kumaliza muda wake ameenda kusoma katika chuo kinachoeleka duniani na Akahitimu.

Mh Sumaye amejiunga kwenye upinzani ambao mimi napenda Kuuita vyama vyenye mawazo mbadala. Kwani wote tunajenga nchi moja Tanzania na hatuwezi kuwa na mawazo yananyofanana licha ya kuwa na lengo moja. 4+5=9 na 3x3=9. Kwa hiari yake na sio kama wale walioletwa na mafuriko.

Kiongozi yeyote ana maono na kujaribu na kushindwa mara moja sio kukata tamaa. Mh Sumaye ni hazina kwa wana mawazo mbadala lakini kwa kkipindi hiki kinaweza kisiwe muaafaka sana. Lakini haishushi umuhimu wake kwani yeye ni mzoefu na sio fisadi

Mh Sumaye na dhani alipo jiunga na vyama vyenye mawazo mbadala alijua anakuja kuchagiza mabadiliko na ili kuchangia kuleta mabaliko sio lazima uwe kiongozi. Unaweza kuwa mshauri na ukatufikisha tunapotaka kwenda.

Itaendelea...
 
Hakuna jipya hata Musiba aliwatisha akina member wasigombee 200
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…