Mbunge CHADEMA: BAVICHA waache mihemko ya kisiasa, wabuni mambo ya kuwakwamua kwenye umasikini

Mbunge CHADEMA: BAVICHA waache mihemko ya kisiasa, wabuni mambo ya kuwakwamua kwenye umasikini

Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Conchester Lwamlaza awataka vijana ambao ni wafuasi wa CHADEMA kuacha mihemuko ya kisiasa kwa sasa badala yake wabuni mambo yatakayowapa nafasi ya kuchangamkia fursa zinazotolewa zenye lengo la kuwakwamua kwenye wimbi la umaskini wa kipato.

Chanzo: Radio One

----
Ndugu zangu,

Watu makini ndani ya Chadema sasa wanaona na wanashauri vijana mfano wa Chadema wajikite kwenye shughuli za kuwaletea vipato badala ya mihemko.
Anasema wachangamkie fursa kama wao walivyozunguka chama na kwenda kuungana na shetani. Hao siyo wabunge wa viti maalum chadema bali ni wabunge wa ndungai bora wanyamaze wale tu kwa mgongo wa ndungai siku akiwachoka ndipo wataona makucha yake
 
Anatokea mkoa gani vijana wakamjibu hoja yake ana kwa ana.
Ana upendo kupita
 
Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Conchester Lwamlaza awataka vijana ambao ni wafuasi wa CHADEMA kuacha mihemuko ya kisiasa kwa sasa badala yake wabuni mambo yatakayowapa nafasi ya kuchangamkia fursa zinazotolewa zenye lengo la kuwakwamua kwenye wimbi la umaskini wa kipato.

Chanzo: Radio One

----
Ndugu zangu,

Watu makini ndani ya Chadema sasa wanaona na wanashauri vijana mfano wa Chadema wajikite kwenye shughuli za kuwaletea vipato badala ya mihemko.
Uyu mbunge anapenda chama wakati chama hakimpendi?
 
Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Conchester Lwamlaza awataka vijana ambao ni wafuasi wa CHADEMA kuacha mihemuko ya kisiasa kwa sasa badala yake wabuni mambo yatakayowapa nafasi ya kuchangamkia fursa zinazotolewa zenye lengo la kuwakwamua kwenye wimbi la umaskini wa kipato.

Chanzo: Radio One

----
Ndugu zangu,

Watu makini ndani ya Chadema sasa wanaona na wanashauri vijana mfano wa Chadema wajikite kwenye shughuli za kuwaletea vipato badala ya mihemko.
Kwani chadema ina wabunge wa viti maalum?
 
Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Conchester Lwamlaza awataka vijana ambao ni wafuasi wa CHADEMA kuacha mihemuko ya kisiasa kwa sasa badala yake wabuni mambo yatakayowapa nafasi ya kuchangamkia fursa zinazotolewa zenye lengo la kuwakwamua kwenye wimbi la umaskini wa kipato.

Chanzo: Radio One

----
Ndugu zangu,

Watu makini ndani ya Chadema sasa wanaona na wanashauri vijana mfano wa Chadema wajikite kwenye shughuli za kuwaletea vipato badala ya mihemko.
Katiba mpya ni chanzo Cha vijana kujikwamua kutoka kwenye umaskini. Bavicha wapo sawa sawa
 
Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Conchester Lwamlaza awataka vijana ambao ni wafuasi wa CHADEMA kuacha mihemuko ya kisiasa kwa sasa badala yake wabuni mambo yatakayowapa nafasi ya kuchangamkia fursa zinazotolewa zenye lengo la kuwakwamua kwenye wimbi la umaskini wa kipato.

Chanzo: Radio One

----
Ndugu zangu,

Watu makini ndani ya Chadema sasa wanaona na wanashauri vijana mfano wa Chadema wajikite kwenye shughuli za kuwaletea vipato badala ya mihemko.
Huyo na wenzake wa covid19 ni machangudoa wa Ndugai tu,CHADEMA hawana wabunge.
Muda si mrefu na watajuta kusaliti na watatapika posho zinazowapa jeuri
 
Huyo na wenzake wa covid19 ni machangudoa wa Ndugai tu,CHADEMA hawana wabunge.
Muda si mrefu na watajuta kusaliti na watatapika posho zinazowapa jeuri
Jamani ndugai anamabinti,siku mkienda kulipa mahali mtapigwa faini
 
Chadema haina Mbunge wa Viti Maalumu huko Bungeni.

Si ndiyo nyie mko kwa maslahi yenu hapo mjengoni, kazi kugonga Meza na kupitisha hoja za hovyo eti kodi ya Uzalendo.
 
K.e.n.g.e usishupaze shingo damu itavujia masikioni
Chadema haina Mbunge wa Viti Maalumu huko Bungeni.

Si ndiyo nyie mko kwa maslahi yenu hapo mjengoni, kazi kugonga Meza na kupitisha hoja za hovyo eti kodi ya Uzalendo.
 
Nilipofungua sikuangalia jina la mtoa hoja, nilidhani ni mtu mwenye uelewa, kumbe ni Wakudadavua!
 
Back
Top Bottom