Pre GE2025 Mbunge Cherehani akabidhi baiskeli kwa wakulima 40 ziwasaidie kufatilia mwendo uzalishaji pamba msimu wa 2024/2025. Rushwa inazidi kutamalaki!

Pre GE2025 Mbunge Cherehani akabidhi baiskeli kwa wakulima 40 ziwasaidie kufatilia mwendo uzalishaji pamba msimu wa 2024/2025. Rushwa inazidi kutamalaki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ambekabidhi Baiskeli kwa Wakulima 40 wa Mfano kwa Zao la Pamba Halmashauri ya Ushetu, ambazo zitawawezesha kufuatilia mwenendo wa uzalishaji Pamba kwa Msimu huu wa kilimo 2024/2025.

Akizungumza wakati wa kukabidhi baiskeli hizo Cherehani amewahimiza Wakulima wa zao hilo kupanua Wigo wa Uzalishaji kwa wakati huu ambao Serikali inatengeneza Mazingira rafiki ya kuliongeza thamani.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kwa upande wao baadhi ya Wakulima hao wameahidi Kwenda kuwa Mabalozi hai wa Pamba kwa kuwatembelea na kuwahamasisha Wananchi kuendesha Kilimo chenye tija kwao.

Baiskeli hizo zimetolewa na Serikali kupiti Wizara ya Kilimo ikiwa ni mwitikio wa Ombi la Mbunge Cherehani kwa Bodi a Pamba nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua juhudi za Wakulima wa Zao la hilo walizozifanya katika Msimu uliopita wa Kilimo.

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Back
Top Bottom