Mbunge Cherehani: Wekeni Akiba ya chakula

Mbunge Cherehani: Wekeni Akiba ya chakula

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge Emmanuel Cherehani ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga amesherehekea Siku Kuu ya Mei Mosi na Wana-Ushetu huku akiwasihi wananchi waweke akiba ya Chakula kutokana na hali ya hewa kutokuwa rafiki.

WhatsApp Image 2023-05-01 at 16.10.32(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-05-01 at 16.10.30(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-05-01 at 16.10.30.jpeg
 
Huyo mwanànchi hata hajui kaya inatakiwa itunze mazao kiasi gani loh
 
Back
Top Bottom