Stephano Mgendanyi JF-Expert Member Joined May 16, 2020 Posts 2,833 Reaction score 1,301 May 1, 2023 #1 Mbunge Emmanuel Cherehani ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga amesherehekea Siku Kuu ya Mei Mosi na Wana-Ushetu huku akiwasihi wananchi waweke akiba ya Chakula kutokana na hali ya hewa kutokuwa rafiki.
Mbunge Emmanuel Cherehani ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu, Kahama-Shinyanga amesherehekea Siku Kuu ya Mei Mosi na Wana-Ushetu huku akiwasihi wananchi waweke akiba ya Chakula kutokana na hali ya hewa kutokuwa rafiki.
karv JF-Expert Member Joined Dec 26, 2019 Posts 1,802 Reaction score 3,253 May 3, 2023 #2 Huyo mwanànchi hata hajui kaya inatakiwa itunze mazao kiasi gani loh