Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Spika Ndugai ni wazi alighafilika.Hivi huyu dada ametolewa nje na mbunge aliyeomba mwongozo kwa spika,au ametolewa nje na mwongozo wa spika?
Na kama kuna sheria ya mavazi bungeni,huyu dada aliisoma au hawajapewa miongozo kuhusu mavazi?
Mbunge wa Nyang'wale ni mtu wa chabo za uswahilini.Bungeni kunajadiliwa VINGI TU...mpaka Simba na Yanga...
Kwani mizigo ya kina Jenista huioni?Lakini hako ka suruali ka kichangu tu
🤣🤣Msubirini 2025 wapiga kura wake wamuangushe kwa hizo "chabo za uswahilini"!Mbunge wa Nyang'wale ni mtu wa chabo za uswahilini.
Bungeni si mahala pake.
Vp viti maalum nini huyo
Are you serious? Bunge? Unajua kwa nini bunge liko Dodoma? Ili liwe karibu na hospitali ya Mirembe, maana wana akili ya vifaranga vya kuku Look what they do. They do nothing apart from kugonga furniture. They have serious mental issues. Mbunge anaenda bunge kuangalia mavazi ya akina mama tu! Nyang’wale oyeeeeeeeeee!!Yafuatayo ni maeneo ya Heshima na hivyo yanataratibu zake;
1. IKULU
2. BUNGENI
3. JESHINI...
Mbunge wa jimbo gani huyo?Ha ha ha!!!! Anakwazwa na masanamu!!!! Ana shida huyo.
Morons?Wabunge wa ccm wengi ni wapumbavu..very primitive.!
Kabisaa mpwa Pale kuna mtu kanyimwa chiuLile lilikuwa zengwe tu kwake mpwa!
Wangapi ndani mule walivaa vile
Ova
Wabunge = imbecilesAna genyemshindoo kashindwa kuhimili MZEE wa watu
Usikuwanataka laki dk tanoooo Cha fastaAfadhali ya huyo kuliko wale wanaojifunika gubigubi wasionekane sura halafu ni makahaba kama makahaba wengine tu.
Ameolewa?Mbunge wa Momba Condester Michael Sichalwe ametolewa ndani ya ukumbi wa Bunge ili akabadilishe mavazi yake baada ya Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar kuomba muongozo wa Spika kuwa kuna baadhi ya Wabunge wamevaa mavazi yasiyo na maadili.
Spika baada ya kumuamrisha kuondoka Bungeni pia aliwaambia askari wa Bunge, kuanzia sasa mbunge yeyote atakaevaa mavazi yasiyo na Staha na kinyume na kanuni waishie getini. Sakata hilo lilianza kwa mbunge mwenzake kuomba muongozo wa spika akimtolea mfano kama mbunge aliyevaa mavazi yasiyo na staha.
Amebarikiwa pia ujinga mwingi kuliko werevuSpika ndugai ni mwanasiasa aliyebarikiwa nguvu nyingi kuliko akili.
Akili zote alinyimwaSpika ndugai ni mwanasiasa aliyebarikiwa nguvu nyingi kuliko akili.