Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?

Hata picha zinaonesha binti yuko sawa kabisa.

Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Lakini hako ka suruali ka kichangu tu
 
Hawa hapo chini wamewatengenezea chanjo kibao mnazitumia na madawa kedekede na mkienda pharmacy mnasema nataka ile UK au ya Germany.......

View attachment 1805450

Sheria za hilo bunge la wajinga...
Badala ya kuwaita NIMR na kuwauliza wanawezaje kugeuza mitishamba kuwa dawa za kukabiliana na tropical diseases...au kusaidia kupunguza vifo ya mama na mtoto
au Kuwauliza TIRDO wameshindwa wapi kusaidia kilimo au viwanda kwa technologia.....

Wao wanaenda kuimba mapambio... na kuangalia nani kavaa nini.....
Hoja zisizofanana.....

Suala la wao kutengeneza madawa tunayotumia na kanuni za mavazi za bunge la JMT Wala hazilingani.....

Hoja iliyo mezani je BUNGE HALINA KANUNI ZA MAVAZI ?!!!

Mbona maofisi ya serikali ,ikulu Kuna kanuni za mavazi...nako wanakosea kwa kuwa tu TUNATENGENEZEWA CHANJO NA MADAWA NA NCHI ZA NJE?!!!

Halafu unaumiaje na kanuni bunge walizojiwekea WENYEWE?!!!

BUNGENI ni sehemu ya kutunga sheria....si kila sheria ITUNGWAYO kwao wenyewe na kwa nchi ITARIDHIWA NA KILA MMOJA WETU.....

Mh.Spika JYN yu sahihi....

#KaziIendelee
 
Wewe ndio utakua na matatizo ya akili
Huyo mbungwe wenu ni dinasour!
Ni wazi hastahili kuwa bungeni, kwani mizigo ya mawaziri wa kike haioni bungeni?
Mshaurini kuwa bungeni si genge la kijiwe cha kahawa kujadili wanawake walivyotokelezea na mixigo yao!
Apevuke kiakili.
 
Halafu badae Mbunge mwengine Mama mtu mzima anasimama na kutetea uvunjwaji wa maadili ya kitanzania na kanuni za Bunge nila hata aibu!!!
huyu Bibi nae anapaswa apumzishwe nyumbani.
Spika asipo simama Imara Bunge hili litapoteza heshima yake kabisa
 
Huyo mbungwe wenu ni dinasour!
Ni wazi hastahili kuwa bungeni, kwani mizigo ya mawaziri wa kike haioni bungeni?
Mshaurini kuwa bungeni si genge la kijiwe cha kahawa kujadili wanawake walivyotokelezea na mixigo yao!
Apevuke kiakili.
Bungeni kunajadiliwa VINGI TU...mpaka Simba na Yanga....

Hoja....je mjadala wake wa JANA ulikuwa ni wa "kijiwe cha kahawa" usio na rejea ya KANUNI NA SHERIA ZA BUNGE?!!

Je mjadala wake wa "kijiwe cha kahawa" ndio ulikuwa ni SHERIA NA KANUNI zilizomtoa nje Yule MBUNGE mwanamke?!!!

Je huyu mh.Amar ndiye aliyemtoa nje huyo mbunge mwanamke?!!!!

#KaziIendelee
 
Yafuatayo ni maeneo ya Heshima na hivyo yanataratibu zake;
1. IKULU

2. BUNGENI

3. JESHINI

4. MAHAKAMNI.

Hayo maeneo na matukufu na yana taratibu zake, huwezi kupita au kuingia ktk maeneo hayo na mavazi yasiyo na heshima lazima utaondplewa au utazuiwa.

kinacho tokea hivi sasa ni ukosefu wa maadili kwa baadhi ya wabunge wetu.
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?

Hata picha zinaonesha binti yuko sawa kabisa.

Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Hivi huyu dada ametolewa nje na mbunge aliyeomba mwongozo kwa spika,au ametolewa nje na mwongozo wa spika?
Na kama kuna sheria ya mavazi bungeni,huyu dada aliisoma au hawajapewa miongozo kuhusu mavazi?
 
Hili sio vazi rasmi la mtumishi wa umma akiwa ofisini!

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Tofautisha Mtumishi wa Umma na Kiongozi wa Umma (Public Servant Vs. Public Leader ).

Sheria zinazowa-govern ni tofauti, code of ethics and conduct tofauti, maagizo na makatazo tofauti.

Kadhalika kanuni za mavazi tofauti, bunge wana zao na utumishi walitoa zao kwa Waraka.

So punguza mihemko. Pole Dada Mbunge umeonewa.
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?

Hata picha zinaonesha binti yuko sawa kabisa.

Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Hakuna Bunge ninalolidharau kama la sasa.
Mabunge yote yamepita kwa Wizi na Ulaghai wa Mwendazake
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?

Hata picha zinaonesha binti yuko sawa kabisa.

Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Tatizo Ni kutovaa ushungi
 
Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume! Mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokipenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex!

Kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh. Mbunge sio kavaa nini, pls my speaker tembelea bunge la SA uone, wabunge pale wengine wanavaa maovaroli na wengine kama domestic worker na kila kitu kipo safi, haya masheria ya kipuuzi futilia mbali na unyanyasaji ndani yake.

Mkuu Acha kufananisha mambo ya tamaduni. La msingi Tuone Nini kinafaa kwa watanzania.
 
Nimeshangaa kweli kweli. Vazi alilolivaa halina kasoro yoyote, tena amependeza sana. Huu ni mfumo dume kazini. Halafu kuna wanaume wengine hawawezi kuji-control. Kuna jamaa alifungua thread hapa eti yale masanamu yanayowekwa maduka ya nguo, akiona ya jinsia ya kike hayajavalishwa nguo anakwazwa!
Ha ha ha!!!! Anakwazwa na masanamu!!!! Ana shida huyo.
 
Back
Top Bottom