luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kama amefanya ivyo kweli ana stahili pongezi, ktk jimbo lake kule.usafiri ni shida sanaa kuna seehemu ina itwa chome ni juu milimani huko, huko bac la kwenda same mjin ni moja tu ukikikosa ilo bac hata safar yako hairisha
Sasa imagime kwa wagonjwa wa gafla
Sasa imagime kwa wagonjwa wa gafla