Mbunge Elibariki Kingu alipangwa kumnanga Bishop Gwajima au ndiyo kujipendekeza?

Mbunge Elibariki Kingu alipangwa kumnanga Bishop Gwajima au ndiyo kujipendekeza?

Huyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.

Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
Watu wa maeneo ya Singida kwa ujumla ni bendera fuata upepo wanapenda kujipendekeza sana
 
Kuna nafasi ya waziri wa ulinzi natumai anaiweza.
 
Huyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.

Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
hivi Lusinde ni msukuma?
 
Swala ni kujaribu, kujaribu ni hulka ya kibinadamu. Lowassa na Membe wajibu, na Gwajiboy na yeye ana haki ya kujaribu kama akitaka.
Kujaribu kwake hakutushughulishi....

Ajaribu tu....
 
Hata mimi sijamuelewa Elibariki Kingu kwa jinsi alivyochangia mjadala jana bungeni!
 
Umtuhumu Waziri Wa Afya na mwenyekiti wetu kuwa wamepewa fedha ili TUCHANJWE....dogo hilo?!!!!
Wewe unaona kawaida kuchanjwa chanjo haijulikani inafanya kazi kwa muda gani mwilini?
Hujui hata long term side effects?
 
Huyu alikuwa anaonekana kama mmojawapo wa wabunge wasio na maana sana bungeni. Lakini kwa jana ameonekana kama vile anaanza kutumika kama game changer! Wangeongea aliyanena jana akina Nape na Janauri basi mjadala ungekuwa sio mjadala tena bali mipasho.

Huyu EK ni nani? Je uwakilishi wake kwenye jimbo la kwao Iramba Mashariki ukoje? Anatumika na Samia na Serikali yake ili kumtetea against pro-JPM au ni yeye tu kaamua kujilipua ili apate maujiko? Inaonesha kaifanya Sukuma Gang Camp kuwa kama wamemwagiwa maji. Wapi Msukuma? Wapi Lusinde?
Anajipendekeza lakini alipangwa kwa makusudi hata hivyo asije kujta kwa kauli aliyoitoa maana giza haliwezi kushindana na mwanga
 
Back
Top Bottom