Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yani Tabata utadhani sio mjini𤣠miaka nenda rudi barabara ziko vile vile tena ukienda Kimanga unaweza ukalia.Hali ya barabara Tabata na Ubungo Dsm ni mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Tabata utadhani sio mjini𤣠miaka nenda rudi barabara ziko vile vile tena ukienda Kimanga unaweza ukalia.Hali ya barabara Tabata na Ubungo Dsm ni mbaya sana
Huwezi kubishana na asiyejua? Wale 18 walipatikana vipi? Hukumu ya mahakama ilisemaje ?kwajiyo 19 walo po walipelekwa na civics pale bungeni, right?![]()
umekimbilia mahakamani tena kutoka kwenye civics dahHuwezi kubishana na asiyejua? Wale 18 walipatikana vipi? Hukumu ya mahakama ilisemaje ?

Na kuna mtu amekula posho na kugonga meza miaka mitanoYani Tabata utadhani sio mjini𤣠miaka nenda rudi barabara ziko vile vile tena ukienda Kimanga unaweza ukalia.
KulaaninahNa kuna mtu amekula posho na kugonga meza miaka mitano
Umesahau:Gwajima. Suala la kupeleka wapiga kura Birmigham hajatimiza.
Yaani upumbavu mtupu, ila wale wa ifaza nakwambia yule dogo harudi. Historia inapnyesha pale wanakaaga kipindi kimoja tuui. Aliyerudia ni Gulamali na Mwesumu. Hapiti nomeenda kule juzi nikawauliza kiko wapi na huyo mtu wenu mtoto wa fundi chereheni( slongan) aliyokuwa anaitumia.Watu wa Morogoro sijui huwa tuna shida gani, maana ni practically absurd kuruhusu mchaga aje kutuongoza kilombero. Na ukitaka kujua hivyo, jiulize kama mtu wa tribe la tofauti anaweza kwenda kugombea Uchagani na akashinda., never on earth
Gwajiboy, arudie kazi yake ya kufufua misukule fekiUchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Wapo wengi sana ,msukuma,kibajaj,Babu tale,prof.mkenda, yaan ni weng sanaUchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?