Mbunge gani harudi 2025?

Mbunge gani harudi 2025?

Hali ya barabara Tabata na Ubungo Dsm ni mbaya sana
Yani Tabata utadhani sio mjini🤣 miaka nenda rudi barabara ziko vile vile tena ukienda Kimanga unaweza ukalia.
 
Mh Waziri MKUU, Natumai kwa busara zake atastahafu na kwenda kupumzika baada ya kulitumikia TAIFA.
 
Karatu, Moshi vijijini, Lupa, Simanjiro, Hai, Wasisahau kitu Dodoma.
 
Gwajima. Suala la kupeleka wapiga kura Birmigham hajatimiza.
Umesahau:
1.Kumfufua Amina Chifupa
2.Boti za uvuvi toka Japan
3.Kawe Development Foundation-utapeli mtupu.
4.Kujenga barabara jimbo lote la kawe.
5.etc
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Watu wa Morogoro sijui huwa tuna shida gani, maana ni practically absurd kuruhusu mchaga aje kutuongoza kilombero. Na ukitaka kujua hivyo, jiulize kama mtu wa tribe la tofauti anaweza kwenda kugombea Uchagani na akashinda., never on earth
Yaani upumbavu mtupu, ila wale wa ifaza nakwambia yule dogo harudi. Historia inapnyesha pale wanakaaga kipindi kimoja tuui. Aliyerudia ni Gulamali na Mwesumu. Hapiti nomeenda kule juzi nikawauliza kiko wapi na huyo mtu wenu mtoto wa fundi chereheni( slongan) aliyokuwa anaitumia.
 
Mnyeti, Slaa, Tulia, Tale, Fa, na wengine kibao bila wizi au huruma hawapiti.
 
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.

Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.

Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Gwajiboy, arudie kazi yake ya kufufua misukule feki
 
Kimei
Sasisha
Mbunge wa musoma mjini
Makamba
Nape
Mbunge wa kibamba
 
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.

Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.

Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Wapo wengi sana ,msukuma,kibajaj,Babu tale,prof.mkenda, yaan ni weng sana
 
Back
Top Bottom