Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Nali

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
1,155
Reaction score
812
Wadau,

Nimeangalia kwenye YouTube, Bunge la Kenya na kuna Mbunge mmoja anaiitwa Duale ameishambulia Tanzania na serikali yetu kuwa tuna wabagua kwa nafasi za kazi kwa watu wao na biashara na pia amesema yule mbunge Jaguar alietoa kauli tata kuhusu kuondolewa kwa wafanyabiashara wa kitanzania nchini Kenya, yupo sahihi kulinda maslahi ya wakenya.

Ameishambulia sana serikali ya Rais Magufuli na Bunge la Tanzania.



Nadhani kuna kitu hakiko sawa kwa uapnde wa hawa wenzetu. Kuna chuki fulani dhidi ya watanzania.

My observation; naona tumekuwa pia tishio kwa wakenya kwenye ushindani kuanzia biashara mpaka kwenye ajira. Maana huyu mbunge kalalamika kuwa machungwa na kabichi wanazokula bungeni zinatoka Tanzania, masoko nchini Kenya yametekwa na watanzania. Heko watanzania wenzangu!
 
Hakuna benki wala kampuni yoyote inayofanya biashara kenya ila wao wana Equity KCB Citizen etc makampuni ya bima na hata wakenya wamejaa katika kazi nchini tanzania.Wakenya wana bidhaa lukuki madukani tanzania mfano sabuni ya JAMAA BLUE BAND OMO ETC.
wakati tanzania bidhaa zake ni raw materials kama mahindi mbao vitunguu etc bidhaa za vyakula tuu.Hakuna watanzania wanaofanya kazi kenya.
Hivyo mgomo ukianza wao ndiyo watapata hasara kubwa.
Mahindi Sembe yamepanda bei tanzania kwa sababu ya wakenya kuja moshi kununua kilo sh730 leo hii
 
Wadau,

Nimeangalia kwenye YouTube, Bunge la Kenya na kuna Mbunge mmoja anaiitwa Duale ameishambulia Tanzania na serikali yetu kuwa tuna wabagua kwa nafasi za kazi kwa watu wao na biashara na pia amesema yule mbunge Jaguar alietoa kauli tata kuhusu kuondolewa kwa wafanyabiashara wa kitanzania nchini Kenya, yupo sahihi kulinda maslahi ya wakenya.

Ameishambulia sana serikali ya Rais Magufuli na Bunge la Tanzania.



Nadhani kuna kitu hakiko sawa kwa uapnde wa hawa wenzetu. Kuna chuki fulani dhidi ya watanzania.

My observation; naona tumekuwa pia tishio kwa wakenya kwenye ushindani kuanzia biashara mpaka kwenye ajira. Maana huyu mbunge kalalamika kuwa machungwa na kabichi wanazokula bungeni zinatoka Tanzania, masoko nchini Kenya yametekwa na watanzania. Heko watanzania wenzangu!

Type ya wabunge hao ndio kama kina Kibajaji au Kina Ally Kessy ni Comedians usiwachukulie serious.
 
Anamakamasi kichwani uyo sio puani tena kama ilivyozoeleka
 
Tangu lini muungano wa watu fukara ukadumu.Haya mambo tuwaachie wazungu wa EU tu lakini siyo sisi wa shithole countries. Kuna wajinga bado walikuwa wanafikiria eti tuwe na United states of Africa.Vinchi vinne tu tayari matatizo ndio ije nchi zaidi ya 50.
 
He should have come to Tz n see how his fellow Kenyans are living lavishly. Kenyans in Tz are enjoying top jobs with big salaries and other fringe benefits. Most of these Kenyans have vowed not to go back home. They deem Tz to be their USA.
Well said Mkuu. Tupo nao mjini....they are enjoying life than when they are in Kenya
 
nani anazotakwimu za trade deficit kati yetu na kenya? my gut tells me wanatuuzia zaidi vya kwao kuliko wanavyonunua vyetu, hivyo wachunge midomo yao.
Wanachezea sharubu za Magu, wataumia soon if not sooner
 
Tatizo mnachukua fursa zao walianza na bomba la Mafuta mkabeba wakaja na kiswahili kufundishwa SA mkabeba wkaja na maparachichi na nyie mkaingiamo wakaanza na SGR na nyie mkaja kwa nn wasiwamaindi kwa kuwaingilia
Hahahahaha kumbeeee.
 
Nimeshasema mahali flani kuwa; Hii kisirani haitakwisha kwa maneno ya Kenyatta. Lazima hii kitu utoke na mtu. Kuna siku mtaona mpakani kumejaa watz kutoka huko tena bila hata ndururu
 
Back
Top Bottom