Kawaambie hao wakenya wako , kiswahili kimejengwa .hapa tz , na huko Sa , sisi Tz ndio tutaenda kufundisha.Haya ni matokeo ya watu fulani kukosa busara.
nyie mbaki tu mkipika kiwiliwili cha albino.msituletee aibu ya kishetanishetani hiyoKama Duale alivyosema, ukifika Namanga, malori yanayokuja Kenya ni foleni yenye urefu wa KM 5, lakini kutoka Kenya hayazidi malori 10.
Anya way, ngoja Bunge la Tanzania lijadili kauli ya Duale, na tuanze kuzuia biashara kati ya Kenya na Tanzania ndio itajulikana nani mwenye umuhimu kati ya Kenya na Tanzania. Ninyi mubaki na toothpicks zenu, na sisi tubaki na mahindi na pamba zetu.
Hayo malori ya tanzania ni mengi kwa sababu wamerahisishiwa vigezo....ukiwa huna taaluma yyte na unajihusisha na biashara amabazo hazileti faida katika taifa letu kwenu....bidhaa pia km mtataka tubaniane poa...ndani ya miaka km kumi hv tutaheshimiana nakwambiaKama Duale alivyosema, ukifika Namanga, malori yanayokuja Kenya ni foleni yenye urefu wa KM 5, lakini kutoka Kenya hayazidi malori 10.
Anya way, ngoja Bunge la Tanzania lijadili kauli ya Duale, na tuanze kuzuia biashara kati ya Kenya na Tanzania ndio itajulikana nani mwenye umuhimu kati ya Kenya na Tanzania. Ninyi mubaki na toothpicks zenu, na sisi tubaki na mahindi na pamba zetu.
Na ninyi mbaki kufunza na kudhamini terrorists ili kuwauwa Jaluo na Luhya mkisingizia Alshababu. Nchi ipo namba 142 katika amani duniani, nchi hovyo kabisa hiyo.nyie mbaki tu mkipika kiwiliwili cha albino.msituletee aibu ya kishetanishetani hiyo
Danganyika mmoja tunayojua?a bunch of lazy bones.
Hahahahaha, agizeni mahindi, Mchele na pamba toka Mexico. Mumefungua kiwanda cha Rivatex lakini pamba mnategemea Tanzania, mtajua umuhimu wa Tanzania. Hicho kiwanda fungeni mitambo ya kutengeneza Condoms, hatutowauzia pamba.Hayo malori ya tanzania ni mengi kwa sababu wamerahisishiwa vigezo....ukiwa huna taaluma yyte na unajihusisha na biashara amabazo hazileti faida katika taifa letu kwenu....bidhaa pia km mtataka tubaniane poa...ndani ya miaka km kumi hv tutaheshimiana nakwambia
Na ninyi mbaki kufunza na kudhamini terrorists ili kuwauwa Jaluo na Luhya mkisingizia Alshababu. Nchi ipo namba 142 katika amani duniani, nchi hovyo kabisa hiyo.
Waambie labda watakuelewa.Kama wakenya wanabaguana wao kwa wao itakuwaje sisi ambao siyo RAIA wa Kenya? Huko Kenya kuna wanajamii walimkataa Headmaster wa shule Fulani kisa tu si mzawa wa eneo hilo.
Eti wengi ni wachaga wenzenu!
Tukisema akili matope mnaona mnaonewa!
Wewe choko nini sasa kama serikali ya tz ilikosea sasa ndo muunge mkono watanzania wasio na wanasiasa kutweswa ugenini.We kweli pimbi! Hata huelewi nini kinasemwa unakimbilia Chadema inaunga mkono mateso!
Hivi hivyo vichwa vyenu kweli vina ubongo au matope?
Tulisema mapema hapa hapa JF kuwa vitendo kama vile vya kuchoma vifaranga na kutaifisha mifugo vinasababisha utengano mkajifanya wabwiga, sasa matokeo ya chuki ndio yalianzia pale.
Wewe unakuja na nywi nywi nywi!
Wajinga tu wanajidanganya, siku zote walikuwa wanasema Watanzania ni omba omba kwao, leo hii Watanzania wamekuwa threat tena mpaka wafukuzwe. Tukiamua kuwatimua hawa kenge watalia na kusaga meno.Makubwa watu wanaweka tuu data. Ila ki takwimu wakenya wameajiriwa wengi Tz kuliko watanzania kenya
Wamekuzidi wewe kielimu na kimaendeleo , kenya wenye maendeleo ni wachache waliomiliki ardhi wengi ni maskini na ndio maana wanakimbilia Tz kufanya kazi na kununua ardhi.wao kama wameonewa kwanini na wao wasitumie diplomasia kusawazisha mambo ? Diplomasia tutumie sisi wao hapana ? Ili tuwaone wameelimika sana kwa mujibu wa maneno yako , waache vurugu wafanye hiyo diplomasia.Alichokifanya Jaguar ni sawasawa na kumwagia Petrol kwenye moto unaowaka chinichini!!!!!! Matatizo kati ya Kenya na TZ yako siku nyingi sana. Lankini JK alikua anatumia busara na uzoefu wa kidiplomasia kuyamaliza haya mambo.
- Hivi tujiulize ilikua ni lazima kuvichoma vile vifaranga vya kuku? vilikua na ugonjwa? au tatizo lilikua kodi?
- Kwa nini tulitaifisha na kupiga mnada ng'ombe za wamasai wa Kenya? Wamasai wa Kenya ndio hao hao wamasai wa Tanzania, kaka yuko Longido dada yuko Kajiaodo. Kabla ya mkoloni hii ilikua nchi moja? KWA NINI BUSARA ISINGETUMIKA, KUWATOZA FAINI NA KUWARUDISHIA NGOMBE ZAO?
- Kwa wale wanaojua sababu, kwanini yule dada wa Kenya aliye changulia kuwa CEO wa VODACOM TZ alinyimwa working permit? mbona kuna wazungu wengi tu hapa TZ wanafanya kazi za ovyo ovyo kabisa wamepewa permit?
- two wrongs don't make a right, Watz tumeanza kumwita ( Hon Aden Duale, EGH, MP, is the first Leader of Majority Party in the National Assembly the 11th and 12th Parliaments under the current constitution) ETI MSOMALI, KWANI MSOMALI SIO MKENYA. Watanzania tuna cheap argumentative synonym. Let's answer his concerns, in a civilised manner. He called a SPED a SPED, na sisi tuite kijiko ni kijiko. Tuacha siasa za mbogamboga.
Ndio, nakubali kabisa kulinda masilahi ya nchi yetu, lazima tuwe wakali, na kufuata sheria na protocols za EAC. WAKENYA WAMETUZIDI SANA KIELIMU na KIMAENDELEO, tunatakiwa kuwaonea wivu kwa kufanya kazi kwa bidii sana ili tuwafikie na sio kuwavuta shati au KUWALOGA?
Watalia haswa hawana kitu kwao , maskini haswa hata kachumbari wanauza ukinunua nyama choma.Wajinga tu wanajidanganya, siku zote walikuwa wanasema Watanzania ni omba omba kwao, leo hii Watanzania wamekuwa threat tena mpaka wafukuzwe. Tukiamua kuwatimua hawa kenge watalia na kusaga meno.
Wamekuzidi wewe kielimu na kimaendeleo , kenya wenye maendeleo ni wachache waliomiliki ardhi wengi ni maskini na ndio maana wanakimbilia Tz kufanya kazi na kununua ardhi.wao kama wameonewa kwanini na wao wasitumie diplomasia kusawazisha mambo ? Diplomasia tutumie sisi wao hapana ? Ili tuwaone wameelimika sana kwa mujibu wa maneno yako , waache vurugu wafanye hiyo diplomasia.
Alikuwa CEO wa safaricom aliletwa kuwa msimamizi wa Vodacom akakataliwa kwa sababu ni.mkenya.
Terrorists si ni nyinyi tu kuna mwingine,si uchawi,si drug trafficking,si albino devouring,.....Are you even humans???sometimes I feel you are beings from another planet