Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

kama watanzania tunatakiwa kuchagua mataifa ya kufanya nao biashara za win win situation. Kenya hajawahi kuwa jirani mwema na kamwa haitakaa itokee
I bet, iko siku ambayo sijui, Tz na K watazipiga ck moja ikitokea tukapata viongozi vichaa flan hvi maana katika Africa mashariki member states, Kenya na Tanzania hawana urafiki. Hawa ni Maadui lkn wana nafkiana sana
 
acha kupotosha, amezungumza facts zinazohusu moja kwa moja maslahi ya kenya.
Alichosema Duale haina tofauti na alichosema Jaguar, tofauti ni very slight kwamba Duale yeye hakusema "piga", na kutoa "24hrs" waondoke. The rest remain the same...
 
Yes ni kweli bila Tz kenya wataumia sana, niulize kwann? Vyakula karibia vyote wanavyokula vinatoka huku, malighafi karibia zote zinatoka huku au hukuji tusipo wauuzia mahindi huwa wanapata tabu sana alafu hadi matunda wanayokula bungeni kwao yanatoka Tz
Acha uongo wewe, eti bila Tanzania Kenya haipo. Kadanganye watu wa vijiweni huko.
 
Amefanyeje!???
Ukisikiliza hiyo YouTube ya Duale, amesema MD wa Baclays Bank Tanzania ni mkenya anaetoka jimboni kwake na kwamba anaongea nae kila siku na kumpa taarifa kuwa wakenya waishio Tanzania wanapitia madhila mengi au kunyanyaswa sana...
 
Huyu MSOMALI lazima ajipendekeze,aende kwao akakomboe taifa lake badala ya kuhangaika na NCHI HURU.
 
He has just exposed the CEO of Barclays Tanzania lol
Yes, huyo anawekwa kikaangoni leo na mamlaka za nchi to tells more on what exactly he knows about the allegations by Duale's statement...

Duale amesaidia sana kwa statement yake...hahaha
 
Naona Watanzania wamenuna sujui ni kwa sababu wanaogopa omba omba, machangundoa, drug traffickers na wachuuzi watajaa kwao na kuifanya Hali yao ya uchumi kudorora zaidi.
Alienuna humuoni,wa ke , ndio wanapiga pyopyopyo huko kwao.
 
Hii mindset ni mbaya sana. Ni mbaya sana. Ikimkosa wa mbali itamshughulikia wa karibu (inaweza kuwa mwanafamilia) IKATAENI.
Mindset ipi Jogi? Unataka asihojiwe? Si katajwa na Mbunge wake kuwa anampatia taarifa kuhusu hali mbaya wanayopitia wakenya wanzao humu Tz? Si muhimu tujue km kwel wenzetu wakenya wananyanyasika hapa na nani anafanya hivyo? Na ikiwa ni uzushi basi huyu Abdi azibitiwe kwa hakika.... That's it
 
Watanzania tatizo tuna wapenda sana wenzetu mpaka wanatuona wajinga, NI WAKATI SASA KWA SERIKALI NA KILA MTANZANIA MZALENDO KUHAKIKISHA TUNAFANYA BIASHARA ZA KIUNGWANA NA MATAIFA YALE TU YENYE NIA NJEMA NA KUTUPILIA MBALI WAPUUZI .
Exactly mkuu
 
Mbona kelele zinakuwa nyingi kama tupo soko la Ngamiani

Kila.nchi ibebe makopo yake halafu tuone nani ataumia

Hao omba omba wa kibongo huko Kenya hawana hata baiskeli ila huku tuna wakenya wana hadi shule watarudi na nguo zao tu
Tena tumeitwa shamba la bibi, kwa kipindi kirefu , sasa shamba la bibi limefungwa , ndio tunasikia hizo kelele.
 
These guys wanajiona ma baba wa East Africa, wishing one day watimuliwe Tz na bidhaa zao kisha tufunge mpaka tuone kama watapumua kwenye ka nchi kao kadogo kama pipi tofi
Hahahaha like ur statement u knw...
 
SIJAWAHI SIKIA MBONGO ANAJADILI KENYA LAKN WAKENYA KILA SIKU WANAJADILI TZ . NAONA KUNA MTU ANAKANYAGWA KIMYA KIMYA .GOD BLESS TZ. TZ GOOOOOOOOOOOOO
Goooo Tz gooo , shamba la bibi limefungwa wanalia , woyoooo.
 
Lakini twende mbele turudi nyuma, huyu jamaa jaguar ukute kayaona mengi

1. Tuliwazingua wakenya kwenye utalii tukawaambia walipe kodi kubwa na kusema wanatuibia watalii wetu

2. Tulichoma vifaranga vya kutoka kenya

3. Tulikamata ng'ombe wao na tukawapiga mnada kisa walivuka mpaka bubu

4. Tumepangua ma CEO wa kikenya kwa kigezo watanzania they fit kwenye nafasi hizo

5. Hata utamaduni wa marais wakiapishwa tunashirikiana, jiwe hajakanyanga lakini kwengine anaenda vizuri mpaka south Africa

6. Tupo busy na wasaliti rwanda kuliko wakenya ambao tuna historia nao vema na tunachangia bahari
 
Na kwambia hivi, kwa namna ninavyomfahamu Rais wetu, kwamba hataki ujinga tena na madharau, serikali ya Kenya(speaker na hata Rais), ni lazma waombe radhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huwezi kumdhihaki Rais wa nchi nyingine tena kwa mbunge ndani ya bunge na wakanyamazia just like that. Speaker wa bunge hilo alipaswa kumtaka Mbunge yule afute kauli lkn kwakua hakufanya hivyo maana yake ni kuwa ndo msimamo wa Bunge la Kenya, kumdhihaki na kumdhalilisha Rais wa Tanzania.

Sisi kama wananchi wa Tanzania tumesikitika sana kudhalilishwa na Rais wetu na kwamba tunatarajia serikali yetu itoe tamko juu ya hili.

Wasituzoee, sisi sio mbuzi wao wala mabibi(wake) zao na watukome kabisa washenzi wa tabia mbaya
 
Unaweza kutuambia sababu za magufuli kukutana na wafanyabiasha!!?

Nadhani kupitia swali langu utakubaliana nami kuwa tafakuri yetu ibebe kauli mbiu "TUJISAHIHISHE"

Kuna "watu" wakiitwa wadhaifu wanavua mashati kutunisha vimisuli vilivyonyaukiana wakidhani ndio ukakamavu.

Kumhoji CEO wa Barclays ni mwendelezo wa kutokujitambua.
 
Refer yule c.o wq vodacom ambaye tulimkataa mara mbili ambaye alitokea kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…