Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Hapana, kumhoji huyo CEO ni jambo jema maana alitajwa na mtu mkubwa kwamab ni mtoa taarifa kuhusu wakenya na ubaya wanayofanyiwa Tanzania.

Na taarifa zake ndizo zilizompa Duale nguvu ya kuwasilisha hoja zake bungeni. Na mbunge huyo huyo kaunganisha dots kadhaa na kumkashifu Rais wa nchi wa nchi yetu.

Ikiwa hakuna sababu ya kumhoji huyo CEO wa Baclays basi hakuna pia sababu za kuhoji hizi tensions zote. Otherwise are inseparable...
Unataka aseme jambo gani tena?
Amesema wananyanyaswa full stop.
Je ni mkweli ama si mkweli, ndipo nikakuuliza kama unajua sababu za wafayabishara kualikwa kukutana na Rais, ifahamike kuwa minong'ono ya chini chini kuwa sababu za wafanyabiashara wengi kufunga biashara zao ni kutokana na "MANYANYASO" wanayoyapitia. Sasa mnong'ono huo haujatuacha salama umeibukia ughaibuni. Kumtetea Rais kwa hili ni wendawazimu

Tujisahihishe haraka kabla hatujachelewa.
 
Ni kweli kabisa mkuu nimefanya biashara ya mazao kwa muda sasa huku nakutana sana na waKENYA na ndo wanatupa changamoto sisi waBONGO wenye mitaji midogo maana huwa wanatabia ya kupandisha bei kwa wakulima inatuletea sana shida lakini hatujalalamika kokote kwa sababu tunaubinadamu na tunapenda amani kila mtu ale kwa jasho lake na urefu wa kamba yake.
Hawa jirani zetu wanategemea sana asilimia kubwa ya chakula kutoka kwetu yaan kiujumla sisi ndo tunailisha kenya.
Hayo ni machache tu na katika hili hatutaki kujua nani ataumia kama wao wataamua kutudeport waTZ toka kwao na sisi tukideport wao huku TZ kwa sababu iko wazi TZ ni nchi ambayo inajiweza kwa vitu vingi sana compare to all EAST AFRICA COUNTRIES hii ni nchi yenye neema tuna kila kitu so let’s do this then we will see.
Chakula ni vitunguu na machungwa
 
Yani mfanyabiashara wa tanga anabandari nyuma ya mgongo wake aje anunue nn mombasa wakat matunda yote yalioko kenya yanatoka tanzania [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Si ndo nakwambia kenya mnauza machungwa na vitunguu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwanza watanzania hawana viwango hvo...hyo nafasi atapewa mhindi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu mbna mlichoma vifaranga na ng'ombe mliwapiga mnada...si mneliwachoma nao..wanafiki tu
Tatizo lenu ninyi wakenya ni akili mbovu, ninyi kama mliona tuliyoyafanya ni makosa, kwanini msitumie njia halali kama tulivyofanya sisi?.

Balozi wa Tanzania yupo Kenya, kwanini msipeleke malalamiko rasmi kama tulivyofanya?. Tunachokataa sisi ni kufanya mambo kihuni kama mbavyotaka kufanya hivi sasa, mkifanya hivyo mtatutambua, tumeanza kumteka mkenya wa kwanza huko Dar, na tunaendelea.
 
Ikiwa vifaranga tu mlivichoma...mtashindwa...je ya silivia mlinge ni urongo pia
Pata picha kama vifaranga vilichomwa moto, tutashindwa kumhoji CEO. Ni kwamba hatutaki upuuzi kwa ufupi.

Na safari hii sio tu kuchoma vifaranga pekee, na mama zao "Kuku" watachomwa pia
 
Yes, Kenya haimo bila sisi. My friend, Sasa kama tu vitu vidogo vidogo kama Matunda na kabichi tunawalishia wabunge wenu vp multi investment nyingine na ajira tulizowapa hapa Tz tukiamua kuwaminya si ndo mtaumia sana wajameni? Au sio namuna hiyo wajemeni.
Ajira mmewapa au wabongo hamuajiriki?? Wabongo kujitambua zero kabisa. Ndiyo maana unawaona wanasiasa wanavyochezea wananchi.
 
Pata picha kama vifaranga vilichomwa moto, tutashindwa kumhoji CEO. Ni kwamba hatutaki upuuzi kwa ufupi.

Na safari hii sio tu kuchoma vifaranga pekee, na mama zao "Kuku" watachomwa pia
Ndio napata picha pia km nyinyi ni wanafiki...mlichoma vifaranga kisa hawana nyama...ila ng'ombe mkwapiga mnada...bwahahaa
 
Unataka aseme jambo gani tena?
Amesema wananyanyaswa full stop.
Je ni mkweli ama si mkweli, ndipo nikakuuliza kama unajua sababu za wafayabishara kualikwa kukutana na Rais, ifahamike kuwa minong'ono ya chini chini kuwa sababu za wafanyabiashara wengi kufunga biashara zao ni kutokana na "MANYANYASO" wanayoyapitia. Sasa mnong'ono huo haujatuacha salama umeibukia ughaibuni. Kumtetea Rais kwa hili ni wendawazimu

Tujisahihishe haraka kabla hatujachelewa.
Ni uwendawazimu tena uliokubuhu ikiwa tutanyamazia aina ya statement kama ile....au uniambie wewe ni mkenya ndio maana unaongea haya. Nitakuelewa zaidi lkn ikiwa ww ni mtanzania na unaongea hayo basi utakuwa mwendawazimu wa kiwango cha lami Mkuu
 
Kwani hao ng'ombe tuliwafuata kenya? Hivyo vikuku tulivifuata kenya
 
Tatizo lenu ninyi wakenya ni akili mbovu, ninyi kama mliona tuliyoyafanya ni makosa, kwanini msitumie njia halali kama tulivyofanya sisi?.

Balozi wa Tanzania yupo Kenya, kwanini msipeleke malalamiko rasmi kama tulivyofanya?. Tunachokataa sisi ni kufanya mambo kihuni kama mbavyotaka kufanya hivi sasa, mkifanya hivyo mtatutambua, tumeanza kumteka mkenya wa kwanza huko Dar, na tunaendelea.
Ndio sai mjue tumeyavumilia sana....msilete vitunguu na mchungwa na sisi tupige ban dawa ya mswaki tu wiki moja km hamkunuka meno hko bongo
 
Ni kweli kabisa mkuu nimefanya biashara ya mazao kwa muda sasa huku nakutana sana na waKENYA na ndo wanatupa changamoto sisi waBONGO wenye mitaji midogo maana huwa wanatabia ya kupandisha bei kwa wakulima inatuletea sana shida lakini hatujalalamika kokote kwa sababu tunaubinadamu na tunapenda amani kila mtu ale kwa jasho lake na urefu wa kamba yake.
Hawa jirani zetu wanategemea sana asilimia kubwa ya chakula kutoka kwetu yaan kiujumla sisi ndo tunailisha kenya.
Hayo ni machache tu na katika hili hatutaki kujua nani ataumia kama wao wataamua kutudeport waTZ toka kwao na sisi tukideport wao huku TZ kwa sababu iko wazi TZ ni nchi ambayo inajiweza kwa vitu vingi sana compare to all EAST AFRICA COUNTRIES hii ni nchi yenye neema tuna kila kitu so let’s do this then we will see.
Haya maneno eti "Tuna kila kitu" ni maneno ya kijima sana!!

Mfanyabiashara toka kenya anaposababisha bei ya mazao kupanda ni faida kwa wakulima wa tanzania na kwa uchumi wa nchi.
(kama mna hela kanunueni korosho kumbavu nyie)

USA ingebaki na wahindi wekundu hadi leo ingekuwa mamilima na mapori tu.

Watanzania nani katuambukiza kufikiri kwa kutumia ubongo wa kuku?
 
Ndio napata picha pia km nyinyi ni wanafiki...mlichoma vifaranga kisa hawana nyama...ila ng'ombe mkwapiga mnada...bwahahaa
Usiombe mkuu kuingia kati ya hii zaga maana utalia. Fanya kusikia kwa wenzio tu. Ikitokea timbwili I tell you watakaolia kilo cha kusaga meno ni ninyi manyang'au.

Mungu aepushie mbali
 
Ni uwendawazimu tena uliokubuhu ikiwa tutanyamazia aina ya statement kama ile....au uniambie wewe ni mkenya ndio maana unaongea haya. Nitakuelewa zaidi lkn ikiwa ww ni mtanzania na unaongea hayo basi utakuwa mwendawazimu wa kiwango cha lami Mkuu
Mitusi imeshaanza...kwn silivia mlinge hamkumkataza kwel vibali..
 
Ndio sai mjue tumeyavumilia sana....msilete vitunguu na mchungwa na sisi tupige ban dawa ya mswaki tu wiki moja km hamkunuka meno hko bongo
Hahahahaha, tutanuka meno sawa, na ninyi mtakufa kwa njaa, na viwanda vyenu vya nguo vitafungwa kwa kukosa pamba, hahahahaha, hahahahaha.
 
Wadau,

Nimeangalia kwenye YouTube, Bunge la Kenya na kuna Mbunge mmoja anaiitwa Duale ameishambulia Tanzania na serikali yetu kuwa tuna wabagua kwa nafasi za kazi kwa watu wao na biashara na pia amesema yule mbunge Jaguar alietoa kauli tata kuhusu kuondolewa kwa wafanyabiashara wa kitanzania nchini Kenya, yupo sahihi kulinda maslahi ya wakenya.

Ameishambulia sana serikali ya Rais Magufuli na Bunge la Tanzania.



Nadhani kuna kitu hakiko sawa kwa uapnde wa hawa wenzetu. Kuna chuki fulani dhidi ya watanzania.

My observation; naona tumekuwa pia tishio kwa wakenya kwenye ushindani kuanzia biashara mpaka kwenye ajira. Maana huyu mbunge kalalamika kuwa machungwa na kabichi wanazokula bungeni zinatoka Tanzania, masoko nchini Kenya yametekwa na watanzania. Heko watanzania wenzangu!
Na leo tutawafunga afcon ***** zao
 
Usiombe mkuu kuingia kati ya hii zaga maana utalia. Fanya kusikia kwa wenzio tu. Ikitokea timbwili I tell you watakaolia kilo cha kusaga meno ni ninyi manyang'au.

Mungu aepushie mbali
Mmekaririshwa tu hayo maneno...hta jiwe ansema hayo hayo...korosho tu ziliwashinda kuzuiuza
 
Ni uwendawazimu tena uliokubuhu ikiwa tutanyamazia aina ya statement kama ile....au uniambie wewe ni mkenya ndio maana unaongea haya. Nitakuelewa zaidi lkn ikiwa ww ni mtanzania na unaongea hayo basi utakuwa mwendawazimu wa kiwango cha lami Mkuu
Chukulia mfano wa Trump ndege yake isiyo na rubani ilipotunguliwa Iran, pamoja na kupuuza lakini anachukua hatua nyingine zitakazoleta heshima ya UTU na ushidi dhidi ya adui unabaki kuwa main focus.

Magufuli ni hasara kwa nchi.
 
Hakukidhi vigezo
Ila yule jamaa wa asia amekidhi kisa anakesi nyingi za kuuhujumu uchumi wa tanzania....unafiki katika ubora wake[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom