Mtalia na kusaga meno lakini watz wanajitimbua kamwe hawatawaunga mkono.Safi sana.Namuunga mkono huyu mbunge maana kasema ukweli.
Huyu namuona kama Lissu wa Bunge la Kenya maana hamungunyi maneno bali anasema ukweli.
Mtalia na kusaga meno na bado 2020 mtabakia kama chama cha mitandaoniAwamu ya 5 imetuletea aibu sana , anayoongea huyu mbunge jasiri wa Kenya ni kweli tupu !
Mtaje tu mkuu kwamba Fulani anawanyanyasa wapinzani kwasababu ya uoga wake tu, ila usituweke wote kundi la muoga huyoIla tunawanyanyasa watanzania wenzetu kama wapinzani asa wa CHADEMA au siyo mkuu?
2020 inakuja Sera zenu ni zipi tafadhari au ndo zilezile za gia angani?kwani nyinyi mlivyoripua vile vifaranga mlijiuliza strategy mliotumia ?
Mwenyekiti wa BAVICHA kila anapoenda anakamatwa.Pili wanachadema kila wapotoa taarifa ya kufanya mkutano ya kisiasa wanyanywaswa na kukataliwa huku wanaccm wakifanya bila shida.Ref.MorogoroMtaje tu mkuu kwamba Fulani anawanyanyasa wapinzani kwasababu ya uoga wake tu, ila usituweke wote kundi la muoga huyo
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ccm katika ubora wake...Ama kweli unawashwa na kinyeo, sasa hapa umesema nini?? Jibu hoja yangu pumbavu. Mm hapa kwangu, mfanyakazi wa ndani, gardener na mlinzi pale nje ni wakenya wenzio, je kwa uroho yenu mbaya mnataka tuwafukuze na wao??
Hakuna kitu kibaya kwa kiongozi kama kuwa Muoga na mwenye wivu, anyway tuyaache haya nina watoto wadogo msije mkaanza kutembeza kidaftari cha msomi kuchangisha rambirambiMwenyekiti wa BAVICHA kila anapoenda anakamatwa.Pili wanachadema kila wapotoa taarifa ya kufanya mkutano ya kisiasa wanyanywaswa na kukataliwa huku wanaccm wakifanya bila shida.Ref.Morogoro
Heri kibaguana kuliko kutekana na kunyofoana minofu na kulana[emoji26][emoji26][emoji26]Wakenya wenyewe wanabaguana kwa makabila so sioni ajabu wao kubagua raia wa nchi nyingine tuwasamehe tu bado wako zama za mawe za kale.
Mtumwa wa kifikra wew, hujitambui na hutakuja kujitambua milele. Ungekuwa karibu ningekupasua makalio kwa shoka.Safi sana.Namuunga mkono huyu mbunge maana kasema ukweli.
Huyu namuona kama Lissu wa Bunge la Kenya maana hamungunyi maneno bali anasema ukweli.
QmaShangaa viongozi wako waliofeli katika swala zima la diplomasia na kupelekea hii aibu kwa Taifa letu.
Na wewe unaamini Wakenya wananyanyasika Tanzania!?Ni kweli, ila ukimsikiliza kwa makini wakati anamalizia anaongelea CEO wa benki furani hapa Tanzania ambaye uwa ana mawasiliano nae mara kwa mara, na huyo CEO anamueleza mambo mengi wanayopitia wakenya waliopo hapa Tanzania.
Question you should ask yourself you dimwit is why Tanzania,and not Uganda, Rwanda, Burundi, Congo, SA, Nigeria or any other African Country...Truth of the matter is, Tanzanians are the worst neighbours to have...Full of themselves who think they can prosper without their neighbours....Your President is wary of the competition Kenya poses as the Economic giant in EA and to counter that, he tries to come up with repressing policies and the more he thinks he is MATAGA, h eis actually taking the country downhill......We live harmoniously with people from other countries......and why has UG not said anything and yet they were mentioned by Jaguar??Because Tanzanians have an inferiority complex! Bure kabisa
Haya ni matokeo ya watu fulani kukosa busara.
Sawasawa kabisa, wananchi waachwe waishi popote, binadamu ameumbwa kuwa kiumbe huru.Tatizo watanzania hatupendi wageni kwa sababu ya uoga wetu na chuki tu.Nchi zote mbili zitaathirika lakini kenya itaathirika zaidi. Wakenya wanetapakaa nchi hii hata katika maeneo remote ambako hutarajii kuwakuta unawakuta waneshaoa zaidi kuliko kuolewa na wamezaliana sana. Wanafanya biashara kubwa na ndogo wanafuga na kulima. Mi nafikiri tuache tu wananchi wa EA waishi wanavyoishi tu!
Wanafiki wakubwa nyie.Mnajifanya wajuaji na wazalendo kumbe waogo wakubwa.Mmefanya ya hovyo wacha sasa mpate mnachostahili.Mtumwa wa kifikra wew, hujitambui na hutakuja kujitambua milele. Ungekuwa karibu ningekupasua makalio kwa shoka.
Kwangu Tanzania kwanza, siasa na mengineyo baadae. Siwezi kumsupport mjinga mmoja anayewakandamiza na kuwatishia maisha watanzania wenzangu kwa sababu tu za chuki zake na kutafuta umaarufu wa kisiasa.
NAKUPENDA TANZANIA, NITAKULINDA NA KUKUTETEA POPOTE SIKU ZOTE ZA UHAI WANGU.
Utatukana sawa ila ukweli ndio huo.
Chama cha waoga kinachotegemea dola nacho ni chama cha siasa?Mtalia na kusaga meno na bado 2020 mtabakia kama chama cha mitandaoni
MP JAGUAR-STAREHE CONTITUENCY HAKUPANGA SEMI ZAKE KISAWASAWA LAKINI HOJA YAKE KILA MKENYA ANAIFAHAMU!!! Wageni bila vibali au vibali gushi wanafanya biashara na kazi ambazo serikali ya kenya haitoi vibali kujiiuzisha!!!Sheria za kenya zinaruhusu uwekezaji na kuajiri wakenya au kulete wataalamu kama huo utaalamu hauwezi kuupata Kenya!!
Omba Omba kutoka Tanzania na nchi zingine jirani, uchuuzi wa mali mali na n.k sio fadhila kwa Kenya.
Tanzania walifukuza wakenya na wageni toka nchi jirani mwaka juzi na hamna aliyeteta. Kwani Kenya haina ruksa kutekeleza sheria zake. Way to go Hon. Duale!!