Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uchumi unabebwa na matajiri wachache sana ,waliojitwalia ardhi kubwa huko , na kuwaacha wakenya wengi wanakosa mahali pa kuishi , wanaishi kwenye slums, wakenya wengi ni maskini , wewe ulishaona tz chapati inaizwa nusu? kenya ina eneo kubwa linaishi watu maskini kabisa.KUMBUKA UCHUMI WA KENYA NI MARA MBILI YA TZ, kenya kuna watoto wengi shule kuliko Tz, wakati population yetu ni kubwa. Kenya kuna wanafunzi wengi university kuliko sisi.
Sio kwa magufuli budaa wala musijidanganye😆😆😆😆😆We miss Daniel Toroitich Arap Moi.
Ujinga kama hizi hungewahi kuziskia.
Kenyans must be respected.
Tatizo kubwa kuhusu Kenya ni kwamba, they are ahead of us kwa kutumia akili zao. Sasa sisi tunataka kuwazidi kwa kuwavuta shati badala ya kutumia akili zetu
Hahahaha umenchekesha san nduguNi vizuri sana,watanzania tuendelee kuwabana mbavu kila sekta
Ndio maana nasema huna akili! Nani kaunga mkono?Wewe choko nini sasa kama serikali ya tz ilikosea sasa ndo muunge mkono watanzania wasio na wanasiasa kutweswa ugenini.
We mkenya si bure "eti sisi tulio mpakani" mimi nina biashara zangu Namanga "Manga" lkn kwa kitendo hiki cha wakenya teba viongozi kabisa kwa kurudia rudia haivumiliki hata kidogo.....subiri kauli ya Magu maana hapepesi macho katika hiliTusilipize visasi. Mambo kama haya yashughulikiwe kwa busara. Kati ya migogoro iliyoturudisha nyuma kiuchumi na kijamii Watanzania ni kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mengine ni Azimio la Arusha na Vita vya uhujumu uchumi na vita vya Kagera. Busara itumike na tuache ushabiki usiokuwa na tija. Alichosema huyo mbunge siamini kama ni msimamo wa serikali ya Kenya. Sisi Watanzania tuliopo mipakani tunajua athari za migogoro kama hii. Mungu aepushie mbali.
SIJAWAHI SIKIA MBONGO ANAJADILI KENYA LAKN WAKENYA KILA SIKU WANAJADILI TZ . NAONA KUNA MTU ANAKANYAGWA KIMYA KIMYA .GOD BLESS TZ. TZ GOOOOOOOOOOOOO
Uchumi gani unaoshindwa kuwalisha watu wao badala yake wanategemea chakula cha msaada?.KUMBUKA UCHUMI WA KENYA NI MARA MBILI YA TZ, kenya kuna watoto wengi shule kuliko Tz, wakati population yetu ni kubwa. Kenya kuna wanafunzi wengi university kuliko sisi.
Japo umejitahidi kujieleza kwelikweli lkn hukueleweka, ulitaka kusema nini hapa Mkuu wangu....Mbunge anayo haki ya kutoa maoni.Wabongo wacha kelele Fika Nairobi city angalia pale sokoni owners wa biashara za pale mitaani wengi kutoka tz kama wale watu tunaita Juakali(machinga) nadhani utaelewa maana ya yule MP .Wakati wao wanamiliki biashara za magumashi bongo Watz wanamiliki biashara za halali pale Mombasa(wasambaa) Nairobi(Wachaga+ waarusha) sasa kumbukeni tu kuwa Wakenya wanaamini zaidi kwenye ajira na usomi kwa kifupi wanakawaida ya kujifungia kwenye msitu wa vitabu lah maskini kumbe maisha ya wanainch yanastawi kwenye biashara .Wakati wakija bongo wanataka ajira sisi tukienda Kenya tunatafuta wateja wa bidhaa zetu au zao wenyewe tunamake profit .Wao wako bize na vyuo vikuu kutafuta madigirii wabongo wapo bize na simple biznes .Si unajua tena kinachowauma zaidi shule zao bora kabisa ndiyo wanasoma watoto wetu kwa ada kubwa kabisa matokeo yakitika wanaonekana watoto wa tz wapo kwenye peak. Msijali wapendwa Rudini nyumbani kumenoga.
Talk to your MP mr kigeugeu let him no Tanzania we unbeaten tumesikia wakenye tutawapiga sana mtachakaaDanganyika mmoja tunayojua?a bunch of lazy bones.
Uchumi gani unaoshindwa kuwalisha watu wao badala yake wanategemea chakula cha msaada?.
Acha kukariri mambo na uanze kutumia akili. Hivi kama jirani yako anajenga nyumba yake, analisha familia yake, na ananunua gari zake kwa pesa yake, na wewe unaomba msaada wa chakula kwa ajili ya familia yako, unakopa kwa ajili ya kujenga NYUMBA na kununua gari la kutembelea, lakini ukitoka nje unajisifia kwamba wewe ni tajiri kuliko jirani yako, utakua na akili kweli?
Hahahaha wivu huo sasa.... Wakenya acheni roho mbaya jamani. Sisi wote ni ndugu na Africa ni moja. Eti "anaelipwa 25m"...hapo ndio penye shidaWangeleta fye ningeanza na huyu wa Tanzania oxygen anatelipwa 25m kwa mwezi.
Na safari hii tunawabana mpk kwenye chakula mpk waombe msamahaMkuu huyo ni baadhi ya wale wanaosikia kuhusu kenya vijiweni [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uongo wewe, eti bila Tanzania Kenya haipo. Kadanganye watu wa vijiweni huko.Pumbavu kabisa wewe, huo ujinga wenu na kauli ya Duale itaigharimu Wakenya.
Mnaichezea Sharubu za Magufuli nyie. Kaa mkijua Magu sio Kikwete. Kabla hapajakucha jambajamba itafanyika kwa wakenya wote waliopo nchini na hapo ndio Utajua kuwa bila Tanzania, Kenya haipo.