Mbunge Getere aomba radhi kwa kauli yake kuhusu Boom

Mbunge Getere aomba radhi kwa kauli yake kuhusu Boom

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
1715243523801.png

"Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada halafu tukawalipia matumizi (Boom) kwa hizo asilimia zilizopo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

===

Mbunge wa jimbo la Bunda Vijijini Mwita Getere amewaomba radhi wanavyuo wote ambao waliguswa na kauli yake ya kwamba wapo baadhi ya wanafunzi ambao hawatumii vizuri fedha za matumizi wanazopewa na serikali (Boom) huku wengine akiwataja kutumia fedha hizo kwenye ulevi.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 9, 2024, kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio ambapo alikuwa na haya ya kusema, ""Kimsingi mimi sijawahi kuona mwanafunzi anafukuzwa chuo kwa sababu hana boom' wanafunzi wengi wanatoka chuoni wakiwa wamekosa ada, ada ndiyo inamfanya mwanafunzi anaahirisha chuo au kuacha masomo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini.

"Wale ambao walinielewa vibaya kwenye hili suala la kusema kwamba labda wanatumia vibaya hela ya boom, nilishasema tusameheane hayo nilizungumza kama mzee na mzazi, suala la matumizi mabaya huwezi kulithibitisha na sio rahisi kusema ni kweli ama sio kweli lakini kwa wale wanaotumia vizuri boom lao waendelee kufanya hivyo na wale wanaotumia vibaya waache," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

Aidha akaomba radhi kwa wanavyuo, " Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada halafu tukawalipia matumizi (Boom) kwa hizo asilimia zilizopo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

====

Pia soma:

Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo

Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
 
Serikali ifanyie kazi kufuta boom maana kilio cha wananchi furaha kwa CCM kama wameweza kufuta toto kadi, kuweka kikotoo hili naamini wataweza tu,
#mamaAnauchapaMwingi#
 
"Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada halafu tukawalipia matumizi (Boom) kwa hizo asilimia zilizopo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

====

Pia soma:

Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo

Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Unalipwa mamilioni ndio maana akili imekuwa finyu!
 
Na hapo bado babu tale hajaongea hapo mana nae kwa utumbo rosti yule hajambo ,kuna viongozi mpaka aibu yani
 
Huyu alivimbiwa makande wanayopika wale wamama pale stendi ya zamani Bunda karibu na kwa Bugingo
 
Aache mentality za kimasikini, boom ni kwaajili ya chakula, na chakula ni basic need. Badala yake apiganie ambao hawana wawekwe kwenye mpango/bajeti.
 

"Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada halafu tukawalipia matumizi (Boom) kwa hizo asilimia zilizopo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

===

Mbunge wa jimbo la Bunda Vijijini Mwita Getere amewaomba radhi wanavyuo wote ambao waliguswa na kauli yake ya kwamba wapo baadhi ya wanafunzi ambao hawatumii vizuri fedha za matumizi wanazopewa na serikali (Boom) huku wengine akiwataja kutumia fedha hizo kwenye ulevi.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 9, 2024, kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio ambapo alikuwa na haya ya kusema, ""Kimsingi mimi sijawahi kuona mwanafunzi anafukuzwa chuo kwa sababu hana boom' wanafunzi wengi wanatoka chuoni wakiwa wamekosa ada, ada ndiyo inamfanya mwanafunzi anaahirisha chuo au kuacha masomo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini.

"Wale ambao walinielewa vibaya kwenye hili suala la kusema kwamba labda wanatumia vibaya hela ya boom, nilishasema tusameheane hayo nilizungumza kama mzee na mzazi, suala la matumizi mabaya huwezi kulithibitisha na sio rahisi kusema ni kweli ama sio kweli lakini kwa wale wanaotumia vizuri boom lao waendelee kufanya hivyo na wale wanaotumia vibaya waache," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

Aidha akaomba radhi kwa wanavyuo, " Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada halafu tukawalipia matumizi (Boom) kwa hizo asilimia zilizopo," - Mwita Getere, Mbunge wa Bunda vijijini

====

Pia soma:

Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo

Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Sasa ukiwa na mbunge mjinga kama huyu na anatunga sheria za nchi . Nchi Ina bunge kweli hapa? Unasema wanafunzi wasilipwe boom wakati huo wewe unalipwa seating allowance na utoro juu. Aiseee!
 
Back
Top Bottom