ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Tukisema RIP huwa tunamaanisha nafsi yake ipumzike kwa amani sasa wewe kumuitaita kila saa utasababisha atoke huko under world awe mzimu aanze kutusumbua upyaR.I.P Magufuli
Ulikataa lock down kwa watanzania licha ya chadema kukimbia bunge na kwenda kukaa lockdown.
Sasa uchumi umekua.