Mbunge Jesca Msambatavangu ataka Sheria ya Bureau De Change irekebishwe

Mbunge Jesca Msambatavangu ataka Sheria ya Bureau De Change irekebishwe

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Akichangia hoja katika uchambuzi wa Bajeti Kuu leo Bungeni, Mbunge wa Iringa Mjini amesisitiza kuwa Sheria zinazokandamiza Sekta binafsi ikiwemo Sheria iliyoundwa kudhibiti maduka ya kubadilisha fedha za kigeni ziondolewe ili kuimarisha sekta hiyo

Amesema kuwa sheria hiyo inazuia wafanyabiashara kufungua Bereau De Change hivyo inakandamiza juhudi za kukuza utalii, kutoa ajira na haitambui mchango wa Rais wa kutangaza utalii wa nchi
 
Akili imemrudi baada ya Magu kuondoka?

Kwioooo [emoji239][emoji239][emoji239]
 
Back
Top Bottom