Mbunge Joseph Kasheku Musukuma ashindwa kulipa mkopo wa takribani TSh Milioni 400. Apewa Notice

Mbunge Joseph Kasheku Musukuma ashindwa kulipa mkopo wa takribani TSh Milioni 400. Apewa Notice

Bro naona wewe biashara kubwa zimekupitia kwa mbali.
Kwanza unapokopa kumbuka zile si fedha za benki, ni fedha za wateja wengine walioiamini benki kuwatunzia fedha zao.
Mteja anapodefault mkopo, kwanza unaitwa for rescheduling ya repayment, na interests juu.
Ikumbukwe kuwa compound interests sasa zinakuwa mzigo mkubwa maana inafika mahali mkopaji ni kama analipia hewa, ila hayo ndo makubaliano na benki.
Ikiwa bado mkopaji anashindwa kulipa mkopo, HAKUNA SIRI TENA!
Hapo unapewa Public Notice kama hiyo aliyopewa Msukuma.
Na bado mteja akishindwa kulipa, moja kwa moja mteja anpelekwa mahakamani ili idhini ya kuuza dhamana ipatikane.
Kukopa ni siri ya watu wawili, ukishindwa kulipa si siri tena.
Mkanda wape wape hao

Watu wakimuona mtu kakomaa mjini wajue kakwepa mishale mingi

Ila muonye huyo Msukuma biashara na ulongo ulongo mwisho pia chini

Yule Dr Manguruwe laishia wapi?
 
Mpuuzi wewe
Duh。。。!。If this makes you happy,be happy!。
umewahi kuwa na Credit Card ya prime bank? Wewe uwe una default wawe wanakuachia tu? Kama huna point kaa kimya.
No sijawahi。
Wewe ni Lawyer gani unayedanganya kweupeeee?
Sijadanga,narudia tena na tena,kushindwa kulipa deni sio kosa la jinai!, ni kawaida sana,na kuna madeni yanajuwa bad debts,hayalipiki due to accrued compound interest,yanafutwa!。 Hata nchi, tunashindwaga kulipa madeni,tunafutiwa!。Mabenk yenye heshima,hayafanyi ujinga huu!。

Hata matajiri wakubwa,wana madeni na wengine wameshindwa kulipa,yamefutwa!。
P。
 
Huyu jamaa ni Lawyer, sasa kama Lawyer anaongea uongo kama huo wewe bado unamfumbia macho? Lawyer anawaambia kutokulipa pesa uliyokopa ni jambo la kawaida, Sasa kama hurudishi pesa wengine watakopa wapi?
Sasa sio kumrushia lugha hizo
 
Msukuma, mwanasiasa mashuhuri anayejitapa kuwa darasa la saba mwenye PhD, biashara sasa zinakwenda kombo.

Gazeti la Nipashe pg 4, kwa maandishi madogo, amebandikwa kuwa anadaiwa na taasisi ya mikopo First Housing Finance Tanzania, karibia milioni 400.

Namshauri tu huyu mwenzetu darasa la saba mwenye PhD, aachane na siasa.
Zinalipika hizo
 
Huyu jamaa ni Lawyer, sasa kama Lawyer anaongea uongo kama huo wewe bado unamfumbia macho? Lawyer anawaambia kutokulipa pesa uliyokopa ni jambo la kawaida, Sasa kama hurudishi pesa wengine watakopa wapi?
Ni kwelikabisa mkuu.
Hili soo Msukuma kajipalia mwenyewe. Kulipa mkopo ni lazima siyo hiyari.
Na kwa Msukuma anavyofahamika, hakuna sababu za kimsingi kutolipa deni hilo.
Kuhalalisha kutolipa kama alivyo sema Pasko ni morally wrong.
 
Alipataje ujasiri wa kununua VXR,wakati anadaiwa about 400 million??
Akiwa kwenye hilo gari pamoja na Lina AC ,anasikia joto kutokana na kunuka madeni!!

Huyu atakuwa tapeli trust me!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu, Woiiih
 
Alipataje ujasiri wa kununua VXR,wakati anadaiwa about 400 million??
Akiwa kwenye hilo gari pamoja na Lina AC ,anasikia joto kutokana na kunuka madeni!!

Huyu atakuwa tapeli trust me!
Nikiwa mfanya biashara namuelewa, kakopa kununua ufahari wa LC300, VXR.
Tatizo hakujua namna ya kulipia huo mkopo, maana hakununua kutokana na ziada ya kibiashara.
Na hilo ndo tatizo.
 
Back
Top Bottom