Mbunge Juliana Shonza awafariji Wanafunzi wa kike Vwawa kwa kuunguliwa na Bweni

Mbunge Juliana Shonza awafariji Wanafunzi wa kike Vwawa kwa kuunguliwa na Bweni

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Viti Maalum Wanawake (UWT) Mkoa wa Songwe Mhe. Juliana Daniel Shonza ametoa Tracks Sut 64 na Pedi 128 zenye thamani ya Milioni 1,600,000 kwa Wanafunzi wakike 64 waliounguliwa na Bweni Shule ya Sekondari Vwawa.

Mhe. Shonza amesema yeye Kama Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe anao wajibu wa kuhakikisha mabinti wanaendelea na masomo ikizingatia wapo katika mitihani

Shonza amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Ester Mahawe kwakuchukua hatua za makusudi na za haraka kwa kuhakikisha mabinti wanapata Magodoro wakati hatua zingine zikiendelea kuchukuliwa.

WhatsApp Image 2023-04-14 at 22.46.24.jpeg
WhatsApp Image 2023-04-14 at 22.46.24(5).jpeg
WhatsApp Image 2023-04-14 at 22.46.23(3).jpeg
WhatsApp Image 2023-04-14 at 22.46.23(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-04-14 at 22.46.35(3).jpeg
WhatsApp Image 2023-04-14 at 22.46.35(2).jpeg
 
SERIKALI PIGENI MAARUFUKU MATUMIZI YA KULALIA MAGODORO
HAYA YA KAWAIDA HUKO MASHULENI

ova
 
Back
Top Bottom