Mbunge Kasaka: Jengeni Imani na Serikali Iliyopo Madarakani

Mtu akishaashiba huko anajua kila mtu ameshiba hapa tulipo hatuna umeme hiyo imani inajengwa wapi
 
Absolutely, umemaliza kila kitu.
 
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Mtoto wa Njelu Kasaka huyu bila shaka,kachukua Jimbo la Baba,kumbe Mwambalaswa alipigwagwa chini hilo Jimbo duuuh
 
Mpumbavu mwingine wa CCM akiinyesha upumbavu wake!
 
Kumbe hili nalo tunatakiwa kuambiwa? Mi sikujua
 
Hivi kweli tuiamini ccm kweli? ngumu sana!
Mnauza khadi urithi wa asili na bado mnakuwa waongo kiasi hicho!
 
Hapo ndio mwisho wako wa kufikiri au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…