Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadhalika chademaMsipunguze ukali wa maneno, ni nani ndani ya CCM asiye na mganga na wala halindwi na hirizi?
CHADEMA haina mbunge hata mmojaKadhalika chadema
Yule mbunge wa nkasi ni wa Chama gani? Au mnaona aibu wanaume mmeshindwa na mwanamke?CHADEMA haina mbunge hata mmoja
Aaida khenan? Maana huyu mwanamama yeye mlisema sio covid 19 na Wala hamjawahi kumuita kwenye kamati ya chama Wala kumfukuzaCHADEMA haina mbunge hata mmoja
WABUNGE HAMNA CHA KUMFANYA MWIGULU HUYO NI MWAMBAMbunge wa Tandahimba, Katani amezungumza bungeni jioni hii akimlalamikia Waziri wa Fedha kwa kuwatukana wabunge kwamba kazi wanayoiweza ni uganga wa kienyeji na wala sio mambo ya uchumi.
Amewezaje kuwa bilionea kabla ya ubunge(real capitalist)Ni kweli lakini hata yeye akiwepo hawezi kujitoa tena kama mwigulu akawa mganga huyo atakuwa ni wale walozi wanaouwa watu.
Mtu kama Musukuma na Babu Tale umwambie habari za uchumi atajua hata unachozungumza?wabunge wengi wapo kungoja kula mishahara na posho na kwenda kudanganya wananchi maskini kwenye majimbo yao kipindi cha uchaguzi tu hakuna wakijuacho.
Kama amewatukana tuu mbona Jambo dogo. Ninyi hamna hadhi ya kuwa wabunge hamkuchaguliwa.Mlitakiwa mnyukwe fimbo na vibao kwa kupoteza pesa za walipa Kodi ktk kikao haramu. Hilo sio bunge ni genge la wanyang'anyi na matapeli limekutana kuhadaa umma.Mbunge wa Tandahimba, Katani amezungumza bungeni jioni hii akimlalamikia Waziri wa Fedha kwa kuwatukana wabunge kwamba kazi wanayoiweza ni uganga wa kienyeji na wala sio mambo ya uchumi.
Mbunge wa Tandahimba, Katani amezungumza bungeni jioni hii akimlalamikia Waziri wa Fedha kwa kuwatukana wabunge kwamba kazi wanayoiweza ni uganga wa kienyeji na wala sio mambo ya uchumi.
Mbunge wa Nkasi ni wa chama gani?CHADEMA haina mbunge hata mmoja
ChademaMbunge wa Nkasi ni wa chama gani?
Mbunge wa Tandahimba, Katani amezungumza bungeni jioni hii akimlalamikia Waziri wa Fedha kwa kuwatukana wabunge kwamba kazi wanayoiweza ni uganga wa kienyeji na wala sio mambo ya uchumi.
Ni mbunge wa jimbo wewe tukutajie hadi dakika uliyoingia kilingeni?Mimi hapa
Alishavuliwa ubunge. Ukifutiwa uanachama sio mbunge tenaMbunge wa Nkasi ni wa chama gani?