Elections 2010 Mbunge kuishi nyumba ya kupanga ni halali kwenye jimbo lake?

Elections 2010 Mbunge kuishi nyumba ya kupanga ni halali kwenye jimbo lake?

Wewe mgagagigikoko kwani una elimu gani mpaka ujione una pointi za msingi. Narudia tena kuwa kwa mfumo uliopo, it doesn't matter na wala sio big deal. Wewe ndo unaonekana zuzu maana mbunge kuweza kuzunguka, kuhimiza hiyo miradi na kujua shida zao sio lazima aishi hapo. Hata kama atawasikiliza kila siku, bila kuwa na resources zozote za kuwasaidia au changia hiyo miradi itasaidia nini ?

Do you need kuishi Tarime, au Serengeti kujua land use conflicts-watu, mifugo ect ?. Unahitaji kuishi vijijini kujua matatizo ya barabara, miundombinu mingine na huduma za afya ect. Wewe ndo unaonekana mtu wa vitenge na kofia, ili mbunge aishi hapo na ushinde nyumbani kwake na kujikombakomba... !!

Mbunge sio solution ya kila kitu, yeye ni sehemu tu ya local gov system. Kama ana coordinate, empower na maintain comm nzuri na hao watendaji wengine huko ktk level ya chini, basi yy pia anashinda anatembeza bakuli (kama huyo rais wa chama chako), fund raising ect. At the end of the day, ili mradi anaweza kutembelea jimbo wakato wowote, sio lazima aishi hapo 24/7
 
Wewe mgagagigikoko kwani una elimu gani mpaka ujione una pointi za msingi. Narudia tena kuwa kwa mfumo uliopo, it doesn't matter na wala sio big deal. Wewe ndo unaonekana zuzu maana mbunge kuweza kuzunguka, kuhimiza hiyo miradi na kujua shida zao sio lazima aishi hapo. Hata kama atawasikiliza kila siku, bila kuwa na resources zozote za kuwasaidia au changia hiyo miradi itasaidia nini ?

Do you need kuishi Tarime, au Serengeti kujua land use conflicts-watu, mifugo ect ?. Unahitaji kuishi vijijini kujua matatizo ya barabara, miundombinu mingine na huduma za afya ect. Wewe ndo unaonekana mtu wa vitenge na kofia, ili mbunge aishi hapo na ushinde nyumbani kwake na kujikombakomba... !!

Mbunge sio solution ya kila kitu, yeye ni sehemu tu ya local gov system. Kama ana coordinate, empower na maintain comm nzuri na hao watendaji wengine huko ktk level ya chini, basi yy pia anashinda anatembeza bakuli (kama huyo rais wa chama chako), fund raising ect. At the end of the day, ili mradi anaweza kutembelea jimbo wakato wowote, sio lazima aishi hapo 24/7

Tunahitaji watu kama wewe katika jamii ili kutambua maana halisi ya neno mtindio wa ubongo au kwa jina lingine mfuluto.You are the best sample of a retarded moron.Thank God theres only few individuals of your type and most are held in Milembe, otherwise monkeys would have rule this world.
 
Sawa dada mgalatigo, ni wazi picha ktk username yako inajieleza. Hali mbaya ya mtanzania imefikishwa hapa na mafala wasomi wa Kivukoni kama wewe, waliokrem tuuu vitu bila hata kuvielewa.

Na ndiyo nyie nyie viazi mnaopewa kuongoza local governments na kuleta huo umasikini vijijini na mnaibuka na hoja na kipumbaf kudhani mbunge ndiyo suluhisho la maendeleo vijijini. Kama kodi inayokusanywa ingekuwa invested huko majimboni kuboresha, dumisha na panua miundombinu, huduma za afya ect leo hii wananchi wasingekuwa ktk shida hizi. Nyie mnaona fahari kununua VX za 193M each, badala ya kununua matrekta na zana za kilimo huko vijijini. Halaf unaibuka na hizi hoja za kijinga na kitoto, kesho utasema mbunge nae asiwe na makochi ili aweze kujua shida na taabu za wanaokaa chini, ambao ndiyo wapiga kura wake, au nae asivae viatu, ect.

Kwa akili hizi, hata Matonya ni jiniasi...
 
Sawa dada mgalatigo, ni wazi picha ktk username yako inajieleza. Hali mbaya ya mtanzania imefikishwa hapa na mafala wasomi wa Kivukoni kama wewe, waliokrem tuuu vitu bila hata kuvielewa.

Na ndiyo nyie nyie viazi mnaopewa kuongoza local governments na kuleta huo umasikini vijijini na mnaibuka na hoja na kipumbaf kudhani mbunge ndiyo suluhisho la maendeleo vijijini. Kama kodi inayokusanywa ingekuwa invested huko majimboni kuboresha, dumisha na panua miundombinu, huduma za afya ect leo hii wananchi wasingekuwa ktk shida hizi. Nyie mnaona fahari kununua VX za 193M each, badala ya kununua matrekta na zana za kilimo huko vijijini. Halaf unaibuka na hizi hoja za kijinga na kitoto, kesho utasema mbunge nae asiwe na makochi ili aweze kujua shida na taabu za wanaokaa chini, ambao ndiyo wapiga kura wake, au nae asivae viatu, ect.

Kwa akili hizi, hata Matonya ni jiniasi...

Kiswahili hujui, Kiingereza hujui, kuandika hujui, logical thinking =zero, analytical thinking=zero,line of reasoning hamna, theres is no regression in your argument and you can't even synthesize your own ideas into a complex whole.Your ratiocination is below zero and you don't have illation even if the whole circumstantial evidence is clear that the closer MP to his/her constituency will perform better.Rudi shule kijana dunia ya sasa utaumia bure with that poor brain.
 
ndio hivyo, we angalia tu atajenga na nyumba kama hana na bado kuishi kwa kupangisha huko, na kama hapangishi kwenye nyumba yake labda ni ya ndugu au rafiki wa karibu ili nao wale pesa za wananchi
 
Sawa dada mgalatigo, ni wazi picha ktk username yako inajieleza. Hali mbaya ya mtanzania imefikishwa hapa na mafala wasomi wa Kivukoni kama wewe, waliokrem tuuu vitu bila hata kuvielewa.

Na ndiyo nyie nyie viazi mnaopewa kuongoza local governments na kuleta huo umasikini vijijini na mnaibuka na hoja na kipumbaf kudhani mbunge ndiyo suluhisho la maendeleo vijijini. Kama kodi inayokusanywa ingekuwa invested huko majimboni kuboresha, dumisha na panua miundombinu, huduma za afya ect leo hii wananchi wasingekuwa ktk shida hizi. Nyie mnaona fahari kununua VX za 193M each, badala ya kununua matrekta na zana za kilimo huko vijijini. Halaf unaibuka na hizi hoja za kijinga na kitoto, kesho utasema mbunge nae asiwe na makochi ili aweze kujua shida na taabu za wanaokaa chini, ambao ndiyo wapiga kura wake, au nae asivae viatu, ect.

Kwa akili hizi, hata Matonya ni jiniasi...



Sawa dada mgalatigo

Hakuna wanaume kwenye familia yenu? You should have know the difference!

ni wazi picha ktk username yako inajieleza

We call it "avatar" keep thinkin its real.

Hali mbaya ya mtanzania imefikishwa hapa na mafala wasomi wa Kivukoni kama wewe, waliokrem tuuu vitu bila hata kuvielewa.

Nadhani unamaanisha Mafuluto.

Na ndiyo nyie nyie viazi mnaopewa kuongoza local governments

Toka lini viazi vinaongoza? zipo kichwani?

mnaibuka na hoja na kipumbaf kudhani mbunge ndiyo suluhisho la maendeleo vijijini

Kumbe mbunge kazi yake ipi? rudi darasani!

Kama kodi inayokusanywa ingekuwa invested huko majimboni kuboresha, dumisha na panua miundombinu, huduma za afya ect leo hii wananchi wasingekuwa ktk shida hizi.

Ndio maana tunataka akae huko asimamie hiyo miradi, ala!

Nyie mnaona fahari kununua VX za 193M each, badala ya kununua matrekta na zana za kilimo huko vijijini.

Akikaa jimboni kijijini Vx la nini? Landcruiser hardtop ndio saizi yake

Halaf unaibuka na hizi hoja za kijinga na kitoto, kesho utasema mbunge nae asiwe na makochi ili aweze kujua shida na taabu za wanaokaa chini, ambao ndiyo wapiga kura wake, au nae asivae viatu, ect.

Huo ndio mwelekeo wa uelewa wako kwamba makochi na viatu ndio maendeleo... una hatari sana wewe!

Kwa akili hizi, hata Matonya ni jiniasi...

We kijana Matonya ni masikini tu lakini sio mjinga.Kumbe unadhani ukiwa tajiri unakuwa na akili nyingi?

We sio level yangu...
 
Kwa hiyo kwa akili zako tatizo huko majimboni sio fedha na resources nyingine bali ni usimamizi ? Wewe kweli jinias kama katibu mkuu wa chama chenu cha majambazi...
 
Kwa hiyo kwa akili zako tatizo huko majimboni sio fedha na resources nyingine bali ni usimamizi ? Wewe kweli jinias kama katibu mkuu wa chama chenu cha majambazi...

Yes its part of the problem.Huna hoja go to sleep...
 
Mimi nafiriki mbunge anapaswa kupimwa kwa namna anavyotekeleza au atakavyotekeleza ahadi zake kwa wananchi na si kwa kuwa au kutokuwa na nyumba jimboni,kwani hili halitowasaidia wananchi mwisho wa siku!!!

...Umenena vyema, lakini inapofikia mbunge anahimiza wapiga kura wake jimboni kujenga makazi bora ya kudumu jimboni wakati yeye hana nyumba jimboni na anafikia hotelini ama kwenye Guest House ya kijiji, nani atamuamini katika hilo?

Nakubaliana na wanaosema kwamba huo ndio udhaifu wa Wapiga kura/Watanzania. Wengi wao hawajui maana halisi ya kura wanazopiga.
Hivi inaingia akilini kwamba aqnakuja mtu jimboni ambaye kwanza hana makazi ya kudumu jimboni kwa maana ya Nyumba. Anakuja miaka miwili mitatu kabla ya uchaguzi na kufikia kwa ndugu ama rafiki na kuanza kujipitisha pitisha huku na huko akigawa kanga, fulana na Wali na kushiriki misiba kwa sana.

Kwa Watanzania, hizi ni sababu tosha za kumpa mtu ubunge.
Anayesema kwamba hajali haya ilimradi mwisho wa siku Mbunge anatekeleza anayoahidi kwa wananchi anajidanganya. Mbunge anayepata Ubunge kwa njia hii ndugu zangu halazimiki kutekeleza ahadi yoyote aliyowaahidi aina ya wapiga kura waliompigia Kura.

Wapo watu wengi tu wenye sifa zinazostahili ambao ni wakazi wa kudumu wa majimbo yetu na ambao kila asubuhi kabla hata hawajakunywa chai na familia zao tunaweza kuwabana kutekeleza ahadi watakazoahidi lakini kuna huu ujinga tuliojazwa vichwani kwamba wa kumchagua mtu ambaye tunamjua kwa mwaka mmoja tu jimboni mwetu lakini kwa vile ameletwa na Chama ama anatumia jina kubwa la ukoo la kiongozi mkubwa wa chama ama serikali basi tunalazimika kumchagua na akiishapata ubunge tu basi anarudi kwenye makazi yake rasmi jijini na huku mlikomchagua anarudi kuchungulia mara moja moja tu!
Ndio maana miongoni mwa mambo muhimu kabisa ya kuweka kwenye Katiba ya Nchi ni suala la Wagomea Binafsi.
 
Nidhani huo ni udhaifu mmoja wapo wa katiba yetu... Mbunge, diwani wote wanapashwa kuwa katika majimbo yao.
 
Sio halali hata kidogo,na sio huyo tu wa Tarime,hata Mbunge wa jimbo la Kilindi-Tanga CCM, amepanga eneo la Kibirashi
 
.....Unaongelea inji gani weye ? Na sasa usharukia ni part ya problem, lakini awali ilikuwa ni problem !!

Tuna resources gani majimboni ambazo hazisimamiwi vizuri, na ni kazi ya mbunge TU jimboni kusimamia. What about hao viongozi wa vijiji, kata, tarafa, mabaraza yao, wilaya na Diwani na Halmashauri ? Kama kweli tatizo ndiyo hilo la usimamizi, basi hatuhitaji hata hao wabunge ...

Ebu toa mfano wa jimbo moja lenye tatizo hilo. Wewe kweli una hoja cha bulicheka !!
 
.....Unaongelea inji gani weye ? Na sasa usharukia ni part ya problem, lakini awali ilikuwa ni problem !!

Tuna resources gani majimboni ambazo hazisimamiwi vizuri, na ni kazi ya mbunge TU jimboni kusimamia. What about hao viongozi wa vijiji, kata, tarafa, mabaraza yao, wilaya na Diwani na Halmashauri ? Kama kweli tatizo ndiyo hilo la usimamizi, basi hatuhitaji hata hao wabunge ...

Ebu toa mfano wa jimbo moja lenye tatizo hilo. Wewe kweli una hoja cha bulicheka !!

Pffffffffff! Rudi mwanzo wa thread usome comments zote it seems like you haven't yet get a grip! its shame unapouliza mfano when a comment on top of yours is mentinoning example already .. Reflect original agenda acha kutapatapa.
 
mfano mbunge wa tarime kapanga na makazi yake yako dar es salaam je inakuaje muda wake wote ameishi dar alafu apate ubunge tarime, ni kitu gani huwa kinatokea kwa wananchi wanao amua kumpa kura mtu ambaye wanajua kabisa akishapata uongozi anarudi kwenye makazi yake ambako amezoea na kwa shughuli zake zote

binafsi sipati picha halisi kwa mbunge achaguliwe na hana makazi maalum??
 
Pffffffffff! Rudi mwanzo wa thread usome comments zote it seems like you haven't yet get a grip! its shame unapouliza mfano when a comment on top of yours is mentinoning example already .. Reflect original agenda acha kutapatapa.

Nataka mfano wa hoja yako kuwa resources zipo lakini tatizo ni usimamizi. Usirukie rukie hoja za wengine, tetetea huo upupu wako kwanza weye msomi wa kivukoni..!!
 
Nataka mfano wa hoja yako kuwa resources zipo lakini tatizo ni usimamizi. Usirukie rukie hoja za wengine, tetetea huo upupu wako kwanza weye msomi wa kivukoni..!!

Debating with Psycho is waste of time...
 
...Umeishiwa hoja sasa unakimbia kama mwajiri wako Mathread, nilijua tu iliimu yako ya kivukoni sio tija. I knew there z no way u can defend n justify r upupu !! What a moron...
 
...Umeishiwa hoja sasa unakimbia kama mwajiri wako Mathread, nilijua tu iliimu yako ya kivukoni sio tija. I knew there z no way u can defend n justify r upupu !! What a moron...

Sioni tija kubishana na wewe kama nilivyoainisha.Kwa kusoma mabandiko yako katika majadiliano haya umeonesha udhaifu mkubwa wa kufikiri na kutoa ufafanuzi wenye mantiki.Pia aina ya lugha unayoitumia ni wazi wewe ni mchanga bado na huna exposure yeyote.Nahofia muda wangu muhimu kukufafanulia uwiano uliopo katika swala la msingi tunalojadili kwa kuwa sina uhakika kama una uwezo wa kuchanganua lile unaloona na lile usiloona. Vipimo vyako vya kulinganisha mambo (reference) vimefungwa katika uwigo mdogo hivyo unachoona huwezi kukijadili kwa mapana zaidi. Pia una kisirani cha kukataa ukweli (ignorance) kwa jinsi ambavyo umeshindwa kukubaliana na hoja nyingi za msingi na pia uwezo wako wa kujifunza umefungwa(limited) na dhamira yako mbaya ya kwamba unajua sana wakati ni wazi hujui.Hoja zilizopo katika nyuzi hii(thread) zimegusia vizuri nyanja nyingi za mapungufu ya dhana ya mwakilishi wa wananchi bungeni kuishi mbali na wananchi hao lakini kitu ninachoshindwa kuelewa ni kwamba je unasoma kinachoandikwa? baada ya hapo unaelewa? maana kama unasoma na kuelewa mbona unakuja na hoja dhaifu na pia unarudia kile ambacho tayari kimejadiliwa? Pia umekuwa ukiniunganisha na watu ama vitu nisivyohusiana navyo ( Mfano msomi wa Kivukoni, Mwajiri Mathread, n.k) sasa hapo ndio naona una walakini katika kichwa chako. Sasa nijibu vizuri kwa hoja kama unataka tuendelee na mjadala na ninakuhakikishia tutaenda mpaka point ya mwisho na kama ukinishinda nitakubali.
 
Back
Top Bottom