Mbunge Luhaga Mpina anazidi kutufumbua macho Watanzania

Mbunge Luhaga Mpina anazidi kutufumbua macho Watanzania

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,175
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Wafanyabiashara wakubwa ni wanaCCM unategemea nini?
 
Mpina ana mengi yamejificha moyoni, kaongelea Bwawa la Mwalimu na ongezezeko la deni la Serikali, kwa vile utawala uliopita hakusikiliza wenzake na yeye sasa hasikiliziwi, zaidi anaonekana bado yupo kwenye maombolezo.
CCM NI ILE ILE.
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Fanya utafiti bro kabla hujaanza kulaumu
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Mlalamikieni mmarekani na bendera fwata upepo wake Ulaya waliyewaekea vikwazo urussi wakati wanaotaabika ni dunia nzima !!
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Rais ameruhusu kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake. Hivyo hao unaowasema hawajala kupitiliza urefu wa kamba zao. Acha majungu kijana.
 
Back
Top Bottom