Mbunge Luhaga Mpina anazidi kutufumbua macho Watanzania

Mbunge Luhaga Mpina anazidi kutufumbua macho Watanzania

Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Fanya utafiti uelewe maana ya "Kazi Iendelee"
Je unaijua ni kazi gani ilikuwa imesimama na sasa Iendelee?

Jifunze kujua maana ya Kila Jambo Lina wakati wake, na ndani ya Kila wakati kuna ACTIONS Zake, la maana pima outweighing benefits against disadvantages ya kila wakati wa Jambo hilo. Wapi Pana unafuu kwa wengi! Pia kumbuka tuko kwenye Vita za kiuchumi, na usichelewe kujua kuwa ni Vita za kiuchumi wa mtu mmoja mmoja, achilia mbali hata ukoo wote, ni mmoja mmoja! (Ubepari wa kisasa kabisa).

Mfano, pima ujue (hata Kwa ajili ya wengi) ili siku nyingine usaidie jamii,

Tuambie Vipi Hali ya

HAPA KAZI TU

VS

KAZI IENDELEE
 
Mpina sio mkweli,ni msaka tonge tu.
Alivyoharibu biashara ya uvuvi bila kuzingatia sheria za nchi ameua uvuvi kwa kiwango kikubwa.Mheshimiwa Msukuma amemkaaga sana bungeni bwana Mpina,kwa vielelezo vingi tu hadi Magu akamtumbua.
Ujenzi wa Bwawa la Mwl.Nyerere hakuwa wazi kutoka mwanzo.
Mbona hakumwambia mjomba Magu kuwa Arab Contractor hana uwezo kabisa wa kujenga bwawa hilo?
Mbona hakusema kuwa hatuna pesa za kujenga SGR kwa pesa zetu kwa muda rafiki?
Mbona hakusema sera za Uchumi za Mjomba Magu zinayumbisha nchi?
Mbona hakusema elimu bure bila vyumba vya madarasa,madawati,walimu ni sawa sawa na sifuri?
Ndiye aliyempa ulaji yule wa rula akijua?
 
Wala hata siyo msiba huo. Ni ule msiba wa kukosa uwaziri ndio unaomsumbua zaidi.
kufa kufaana ni kweli kuna baadhi ya matajiri wasio waaminifu wanatumia fursa ya vita ya ukraine na urusi kama njia ya kuwanyonya wananchi kwa kupandisha bei ya bidhaa mbali mbali lkn kiuhalisia hali haiko kivile.
 
Mama yetu SSH ana nia nzuri sana na nchi yetu ya Tz, sema tu amezungukwa na mafisi hatari sana ambayo hadi sasa ni bahati mbaya sana mama hajagundua kuwa ni majitu yenye husda na tamaa kubwa sana ya fedha.
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Mbwa hula makombo yaangukayo mezani pa Bwana wake
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
Ila wazo lake ni kama lilidharauliwa hivi
 
Akiomba Bungeni kwamba Mh spika Aunde tume ya uchunguzi. Juu ya Ujenzi wa Bwawa la Nyerere pamoja na Upandaji wa Bei za Mafuta pamoja na mbolea. Kwamba kuna wajanja wanatengeneza michezo kwa kisingizio cha vita ya Urusi.

Kusema ukweli Mimi namuunga mkono Mh mpina hali ni mbaya sana mtaani mifumuko ya bei imekua yakupindukia kwenye kila bidhaa ukiuliza wanakwambia urusi.

Hivi hii Vita ya urusi ni mbaya kuliko janga la corona?

Corona ilikua na hathari duniani kote lakini nchi yetu iliweza kusimama bila kuathirika. Hapa ndipo tunadungua Magufuli Alikua Makini kusimamia nchi kwa uadilifu mkubwa.

Ushauri Wangu kwa Mama yetu Samia. Angalia watu waliokuzunguka Una majoka yanayoangamiza Watoto wako.
mbunge wa wananchi huyu
 
Back
Top Bottom